Pule
JF-Expert Member
- Apr 18, 2024
- 378
- 719
Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.
Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.
Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu
Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.
Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.
Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu
Kazi anayo kwhyo na mchepuko unaendlea nae?Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.
Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.
Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu 😂😂