Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.

Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.

Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu

Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.

Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.

Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu

Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.

Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.

Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu 😂😂
Kazi anayo kwhyo na mchepuko unaendlea nae?
 
Kazi anayo kwhyo na mchepuko unaendlea nae?
Ni miaka 4 nyuma kipindi na fumwa niliendelea nae kuhakikisha nakula mafao ya mzee wake Hadi alipoolewa na Mimi nilikuwa mmoja wa Wana kamati kwenye send off yake basi.

Mawasiliano yapo Hadi Leo SA ndo hivo sio wangu Tena ila yeye yupo ready any time nikihitaji naenda tu. Mi sitaki mke wa mtu.
 
Ni miaka 4 nyuma kipindi na fumwa niliendelea nae kuhakikisha nakula mafao ya mzee wake Hadi alipoolewa na Mimi nilikuwa mmoja wa Wana kamati kwenye send off yake basi.

Mawasiliano yapo Hadi Leo SA ndo hivo sio wangu Tena ila yeye yupo ready any time nikihitaji naenda tu. Mi sitaki mke wa mtu.
🤣🤣Mkuu Hadi kwenye kikao Cha send off ulikuwepo na hpo bado ulikuwa unaendlea nae.....sasa hukujisikia kuumia?
 
Kitendo Cha kunifungia nisiingie kwangu maana yake umenipa Baraka zote nikalale Kwa mchepuko na nitaenda. Kwanza muda si nakuwa sijui kosa maana umejifungia.[emoji23]
uende tu na usiwahi rudi nyau wewe[emoji34] yani takufurahisha, hutawahi jaribu tenaaaa kwa nitavokuharibia mwakaa, aiseee weeeh[emoji28]
 
Siku hizi wanasema wenyew wanataka kuwa nyumba ndogo, kazi inakua solved. Maisha kusaidiana. Mambo ya kutoana ngeu sijui kuburuzana nje huko yamepitwa na mudaaa.....wote unawapa vtega uchumi na mahitaj muhmu safiiii
 
Siku hizi wanasema wenyew wanataka kuwa nyumba ndogo, kazi inakua solved. Maisha kusaidiana. Mambo ya kutoana ngeu sijui kuburuzana nje huko yamepitwa na mudaaa.....wote unawapa vtega uchumi na mahitaj muhmu safiiii
Point
 
Anyway inawezekana unaona maisha yameendelea bila shida,but trust me kuna kauaminifu kwako kamepungua,ila ameamua tu msonge mbele inawezekana mmetoka mbali........siyo jambo jema sana jambo kama hilo,hasa mkeo kutukanwa na mchepuko wako....... wanaume hata kama unanyumba ndogo hakikisha mkeo haguswi kwa namna yoyote,unapanda mbegu mbaya sana,japo huwa tunawaona wanawake wajinga ila tunawakosea sana
Kisasi chake ni kwa watoto huko ataambulia zero square asijipe hope sana mazee
 
Anyway inawezekana unaona maisha yameendelea bila shida,but trust me kuna kauaminifu kwako kamepungua,ila ameamua tu msonge mbele inawezekana mmetoka mbali........siyo jambo jema sana jambo kama hilo,hasa mkeo kutukanwa na mchepuko wako....... wanaume hata kama unanyumba ndogo hakikisha mkeo haguswi kwa namna yoyote,unapanda mbegu mbaya sana,japo huwa tunawaona wanawake wajinga ila tunawakosea sana
Na huu ndo ukweli wenyewe.

Mwanamke, anaweza kusema sawa nimerudi nimekusamehe lkn deep inside asiwe amekupa msamaha, na atalipiza tu.
 
Back
Top Bottom