Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Habari za muda huu Wana Jf!
Dunia hii imejawa na changamoto mbalimbali lakini leo tuongee kuhusu kusingiziwa Mambo ya aibu. Karibu tushee uzoefu huo na jinsi gani uli-recover.
Binafsi mwaka flani Nilienda kwa watu wakanisingizia nimejamba tena mbele ya mabinti wakubwa tu[emoji28]. Sasa uswahilini hawana maneno ya ustaarabu Wala kupunguza makali ya maneno. Kuna kawimbo kao wanaimba huku wanazungusha kidole.
Wanaamini wimbo utakapoishia na aliyepointiwa na kidole ndo huyo kajamba. Ebwana ee wimbo uliishia kwangu nikiwa nimenyooshewa kidole. Watu wote wakashika pua zao wakaniambie niende nje nikapulizwe na upepo kidogo[emoji28] huu Ni Mwaka wa 6 sijawatembelea hao waswahili. Pia nimekoma matembezi yasiyo na manufaa.
Dunia hii imejawa na changamoto mbalimbali lakini leo tuongee kuhusu kusingiziwa Mambo ya aibu. Karibu tushee uzoefu huo na jinsi gani uli-recover.
Binafsi mwaka flani Nilienda kwa watu wakanisingizia nimejamba tena mbele ya mabinti wakubwa tu[emoji28]. Sasa uswahilini hawana maneno ya ustaarabu Wala kupunguza makali ya maneno. Kuna kawimbo kao wanaimba huku wanazungusha kidole.
Wanaamini wimbo utakapoishia na aliyepointiwa na kidole ndo huyo kajamba. Ebwana ee wimbo uliishia kwangu nikiwa nimenyooshewa kidole. Watu wote wakashika pua zao wakaniambie niende nje nikapulizwe na upepo kidogo[emoji28] huu Ni Mwaka wa 6 sijawatembelea hao waswahili. Pia nimekoma matembezi yasiyo na manufaa.