Humu kila mtu alikua wa kwanza darasani....
Mijitu ikishakua mijitu mizima inakua miongo sana,this is insane!
Nani kadanganya hebu mtaje, mbona watu mna wivu sanaπππππHumu kila mtu alikua wa kwanza darasani....
Mijitu ikishakua mijitu mizima inakua miongo sana,this is insane!
Sasa mkuu thread yenyewe imeshasema umaarufu, unataka tuseme nini tena zaidi ya kuwa wa kwanza?
πππππ eti kwny ghala la chakula!Kama ulikuwepo yaani mpaka wengine hunitania kwa kusema "we jamaa ulikuwa unatubania sana msosi, vipi hapo kwenye ghala la chakula maisha yapoje". Nabaki tu kucheka
Barafu la moto
uNilikuwa maarufu kutokana kumuuzia visheti Mwalimu na ubuyu.
Ikija threa ingine 'kwanini waliokuwa wanaongoza darasani hawafanikiwi kimaisha' hawa hawa ndio wachangiaji wanaofanikiwa kimaisha aka hawakuwa vipanga!Humu kila mtu alikua wa kwanza darasani....
Mijitu ikishakua mijitu mizima inakua miongo sana,this is insane!
πππ wewe kiboko mkuuhahahaha..! nilikuwa mpiga kelele maarufu, kila mkiitwa hata kama nililala utasikia teacher "panya mabaka, njoo hapa, lala chini" yani nakula za maana alaf wengine wanaachwa! dah, shule hizi..
Bibie mpe nafasi aje pm atoe dukuduku lake..anaumia kihisia huyu jamaaaVunga basi hahhaha
Nani kadanganya hebu mtaje, mbona watu mna wivu sanaπππππ
Ikija threa ingine 'kwanini waliokuwa wanaongoza darasani hawafanikiwi kimaisha' hawa hawa ndio wachangiaji wanaofanikiwa kimaisha aka hawakuwa vipanga!
Ni wapi nimeonyesha kujistukia mkuu? mimi nilikuwa nataka udhibitishe madai yako.nKutoa madai bila ushahidi ni hatari kwa afya.Mbona unajistukia mzee?
Unaanza kujitetea na kutetea group zima hata hujatajwa popote au kua addressed directly?
Cut the grass and snakes will show....
Ni wapi nimeonyesha kujistukia mkuu? mimi nilikuwa nataka udhibitishe madai yako.nKutoa madai bila ushahidi ni hatari kwa afya.