Je, uliwahi kuwa maarufu shuleni?

Je, uliwahi kuwa maarufu shuleni?

primary nlikua maarufu kwa sababu nlikua na nywele za kipilipili shule nzma,nywele hazichaniki hata kwa dawa pia nlikua na viakili kidgo vya darasan...secondary ile nimeenda kuripot form one siku ya kwanza nkakuta darasa lipo kimya limezubaa zubaa nkajifanya born town nkawapigia kelele kumbe kuna second master yupo darasa la jirani,alinigonga fimbo kama 20 hv mbele ya form one wote....umarufu wa pili ulikuja miez mitatu badae hapa ndo shule nzma ilinitambua..ilikua simu ya school baraza kwa bahat mbaya zaid muda wa kwenda nyumbani ukafika huku kikao bado kinaendelea mimi bila idhini wala ruhusa yoyote kutoka kwa mwalim wala time keeper nkaenda kugonga kengele watu wakatawanyika kwenye school baraza...aiseee kilichonikuta ni siri yangu...mambo yapo mengi ngoja niishie hapa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Primary : nilikuwa nawakimbiza, kuanzia darasa la tano hadi la saba ni moja tu.

O level nilikuwa niponipo tu, nikakutana na vipanga zaidi ndo nikajua kuwa nilikuwa nakuwa wa kwanza kwa wajinga. ila nilikuwa napendwa sana na totoz. Nyota yangu kwa totoz iling'aa sana o level.

A level, nilikuwa nipo kama sipo

Chuoni ndo kabisaaaaaa kila mtu na maishs yake.
Mboga saba si anakujua lakini[emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Primarily
Nlkuwa doja nalala vichakan sitakaa nisahau siku hiyo nililalia kinyesi cha binadamu nlikuwa nalala ukifika mda wa kutoka naenda home, nlkuwa kama sio kujificha vichakan nashinda kwenye majumba mabovu sitakaa nisau wazazi walikuwa wanajua naenda shule kumbe nimetega almost mwezi mzima siku walijua baada ya barua kufika home hilo lilinipa umaarufu still nlifaulu shule nzur ya mkoa

O-level
Tabia haina dawa form 1 nilianza vizur na form lakin sjawah kuwa kipanga nlvyofika form 3 nkaanza kutega nashinda vichakan pembezon mwa mji nachoma viazi nkajulikana kwa jina la mkimbizi nlkuwa nikionekana siku ya matukio tu kama mitihan nilianguka vibaya mmno kimasomo ikabidi nibadilike kwa huo mwaka 1 uliobakia baada ya bi maza kugundua f4 nikafaul kwa daraja zuri still hakuamini yale maajabu"mabadiliko daima huanza na wewe kama unapokwenda siko uliza usichelewe " still walimu hawaamin Yule mtukutu alieshindikana alifanya mabadiliko kwa mda mfupi

A-level
Nlifaulu mchepu wa sayansi shule Fulani hivii ipo ndichii porini kabisaa nlkuwa maarufu kwa kutafutwa na walimu nlkuwa nadoji siingii vipindi siendi assembly tunashinda Chaka na wahuni naonekana sikumoja sikumoja au kweny prepo za mchana wakanipachika jina jambazi kuu. Nilivyofika form 6 nikaaribu nakumbuka mock nlipiga div 4. Disemba sikwenda home nkabak scull nipige msuli na wadau wangu nawakumbuka Sana ila ukwel nlkuwa sio msomaj kivile nikishika daftar dk 5 nasinzia still necta nikafanya wonder zaidi ya o level


JKT
Kama kawaida baada ya Zile six week za mateso nikawa dojaa marufu nlkuja kuwa mng'ao au kugundulika na maafande dakika za mwisho namalizia mafunzo nlkuwa naonekana mida ya rokoo na chakula cha usiku mda wote niko chaka nachoma ndizi viazi nakula maparachichi saa 9 usku tukishituliwa nakimbia huko na shuka langu kulala nlijulikana Kama afisa tanapa au Tarzan kwa kushinda Chaka wanangu wa D coy 825 kj wananikumbuka for privacy reasons sitotaja op na mwaka nilifahamika na nlipata marafiki wengi

CHUO
Nlipangiwa chuo flani hivi haha wanakiita secondary au form 7,university of assignments, wenye chuo wanakijua hapa movie kamili ya maisha yangu ilianza huko kote ilikuwa ni beginning nlichokikuta huko sio poa niishie hapa tu



Kitu ambacho najiuliza nilipata wapi ujasiri wakukaa porin mwenyewe, si ningezurika mm sikuwa kipanga sikuwa msomaji still nlipeform vizur Sana darasan .Mungu alinilinda

You determine your life story by the choices you make

Sent using Jamii Forums mobile app
daaah mkuu u made my day
 
huenda na masihara lakini pia msichana akifika miaka 30 hajaolewa hua anaanza kuitafuta ndoa kwa nguvu sana, wengine mpaka wanachanganyikiwa

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
Hilo ni kweli kama vile mwanaume akiwa na kibamia anavyodata
 
Mimi nilikua nasoma boarding, sasa nilikua sifahamiki kabisa shuleni icho kitu kilikua kinaniuzi sana, kuna siku ilikua graduation day. Muda wa chai ulivyofika niliwahi mapema kwenye foleni kuchukua chai hapo tulichanganyika na wageni wengine waalikwa zikawa kama shule tatu ivi. Sasa ilivyofika zam yangu kuchukua chai nika panda juu ya sufuria nikadumbukia kwenye chai na mabuti yangu, nikaogelea kama dakika mbili iv.kuanzia hapo Nilijulikana na shule zote za secondary za iringa. Ila ndo sikuendelea tena na masomo, niliungua sana, vidole sina, macho yenyewe hayaoni hata hii comment sijui kaniandikia nani, mi mshenzi sana pumbavu zangu
 
Umaarufu wangu primary nilikuwa nakimbiza balaa hasa math
O'level nilikuwa na kisauti chembamba mno maana ndio kwanza nilikuwa nimebalehe hivyo nikawa naona aibu kuongea mbesi maana sauti ilibadilika na kuwa nzito..
A'level na chuo sikupata umaarufu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Primary:
nilikua mchelewaji hatari kufika shule nakuta watu wameshaingia darasani wakati hizi kayumba sifa uwahi namba asubuhi, nilishindwa kabisa kuwahi maana lazima ninywe chai ndo niondoke home walimu walinichapa mpaka wakaacha.
Na tukiagizwa mifagio ya chelewa Mimi nilikua nachukua ile mirefu ya kufagilia uwanja nyumbani mda wa kuondoka nauacha nyuma ya kabati darasani na hauhibiwi maana ni mimi tu ndo nilikua nao .......maskini sikuwaga na aibu kabisa ahahahaah

Olevel: mtabe wao phy nikikosa swali mwl lazima aangalie Mara mbili mbili

Adv: usista duu maana nilichaguliwa mkoani huko so mm na rafiki angu ndo tulikua wajanja ,mtabe wa organic chem nilihakikisha hamna swali ambalo halitembei maana hii topic nilisoma tuit Mara 3 !!! Nikiwa naitwa mama organic ,nikaongoza mkoa !!

Chuo: hapo nilikua nipo ka sipo full kudoj class naingia siku ya presentation na pepa !!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ushahidi tosha kuhusu namna mazingira ya nyumbani yanavyo-influence watoto. Imagine mzee angekuwa na machupa ya pombe tu... pengine leo we ndo ungekuwa Pierre Gumbo...[emoji16][emoji16][emoji16]
mi nakumbuka shuleni nilikuwa bright mno alafu mi ndo nilikuwa navaa viatu peke yangu 1992 PRIMARY. hahaha dah, sasa pia nilikuwa mtu wa kusikiliza sana redio hasa dunia yetu leo mchana na DW, BBC SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA, habari zote muhimu wanafunzi walizipata kwangu hata baadhi ya walimu kwenye mikutano mbali mbali nikawa naitwa kuelezea kwa fact nini kinaendelea Huko duniani,
Nilipata umaarufu sana nilipoanza kuchambua masuala ya vita ya kimataifa YEMEN, YUGOSLAVIA, na wengine wengi,
Mzee wangu alikuwa na library moja balaa magazeti yoote yapo, hata yale ya Scientific america na National Geographic yanayotoka kila mwaka alikuwa nayo ya mwaka 1961 hadi 1998 humo kumesheheni nondo, mambo ya sayansi , geography , magalaxy ma big bang, na kila kitu niliyasoma na kuwaeleza wengine kama story,

Nilikuwa najua sana hesabu hiyo mpaka chuo kikuu nilikuwa kipanga mnoooo,

ISHU MOJA AMBAYO INANISHANGAZA ILIKUWA NIKIANZISHA KUONGELEA JAMBO MPAKA WATU WOTE WAKUSANYIKE KUNISIKILIZA MBAYA ZAID NA NINAO WAZIDI UMRI, NIKAPATA JINA LA ENCYCLOPEDIA BRITANNICA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom