DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Enjoy hadi muda huu imeshafutika katika masikio ya wengiIt's depends on various factors
ie ....mood
Environment...ukiwa partying utachgua enjoy......ukiwa umetoswa utachagua ....ukimwona[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Lkn ikitokea party...utaisikiaEnjoy hadi muda huu imeshafutika katika masikio ya wengi
IsingevumaHii nyimbo angeimba
Jay melody yote [emoji736]
ingevuma
Analipwa kiasi gani kwenye show moja?Hapana
ingevuma
Jay melody sahivi nahisi ana jina kubwa
Ah mzee sijuiAnalipwa kiasi gani kwenye show moja?
Jaymelody alifanyiwa interview na East Africa tv hapo ilikuwa mwaka jana before hata kukutana na mondi akaulizwa kati ya mil 50 na kufanya collabo na diamond kipi anachagua akajibu collabo na diamond kwasababu anaweza kuvuna zaidi ya hiyo 50M kutokana na ukubwa wake na ngoma zake kwenda mbali zaidi kimataifa.Ah mzee sijui
Ila hata kama halipwi hela nyingi basi na uhakika mwaka huu na mwanzo wa mwaka jana tofauti itakua kuubwa sana
Saa nyingine inabidi jina likue kwanza ndo maokoto yaje
Unafikiri mpaka mond kumuomba kwenye nyimbo ni jambo dogo hilo🤔
Uwepo wa mond....utampaisha zaidiHapana
ingevuma
Jay melody sahivi nahisi ana jina kubwa
Unaujua mziki mzuriHanna kitu hapo uchafu mtupu.
Umeme hamna kababaa
Pole mkuu...I feel your pain [emoji1][emoji1]Umeme hamna kababaa
Usisahau feedbackImebidi nikautafute huo wimbo niusikilize. Sina cha kusema [emoji52]
Ukweli mchunguKwenye ile ngoma ya Shu, yude demu alimfunika vibaya mno kaka yetu
Haitakuja tokea la masimba kufunikwa kwenye wimbo....Kwenye ile ngoma ya Shu, yude demu alimfunika vibaya mno kaka yetu