Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
na mimi naona umepoaaHamna wimbo hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mimi naona umepoaaHamna wimbo hapo!
Vyovyote tu utakavyoona. Diamond ana mikwaju ya maana kama mawazo, moyo wangu na nyinginezo za zamani, napenda mziki wake ila wa zamani na si sasa. Huo unao upigia promo ujifungie ndani kwako uusikilize mwenyewe.
Kaukataa kiajekawaid sana ni wimboo ila sio hit..ndio maana diamondi kaukataa
Nmekosa[emoji23][emoji23]Vyovyote tu utakavyoona. Diamond ana mikwaju ya maana kama mawazo, moyo wangu na nyinginezo za zamani, napenda mziki wake ila wa zamani na si sasa. Huo unao upigia promo ujifungie ndani kwako uusikilize mwenyewe.
So haiwezi kuwa hit song?Ngoma ni nzuri ila sio Kali kihivyo wote wameimba vzr
Ni mpya??? Sijawahi isikia naomba utanitumia badae!
Hv yule video queen sio hamisa mobeto jaman?Kwa upande wangu Ngoma naweza kuipa rate ya 7.5
Na msanii alieupiga mwngi kuliko wenzake kwa mpangalio nitaanzaa na
1. Jay melody
2. Mr blue na mwisho namweka
3. Diamond Platinum
Ngoma ni nzuri ila sio Kali kihivyo sio hit song
Hv yule video queen sio hamisa mobeto jamanKwa upande wangu Ngoma naweza kuipa rate ya 7.5
Na msanii alieupiga mwngi kuliko wenzake kwa mpangalio nitaanzaa na
1. Jay melody
2. Mr blue na mwisho namweka
3. Diamond Platinum
Ngoma ni nzuri ila sio Kali kihivyo sio hit song
[emoji1][emoji1]Hpa ndipo ninapoipenda jf kesho ukija ukiwauliza nyimbo gn ya bongoflava umesikiliza leo wote wanataja nyimbo za mbele huku wakikandia kutokusikiliza bongoflava. Hahah this is jf
Konde ataharibu wimbo ....Hapo hakuna wimbo mimi nimesikia taarabu lenye michano ya kale kwa mbaaali. Labda wajaribu kuisample na hiyo akiwamo Kiba na Kondeboy wawe wa5 labda[emoji706]
Nimecheka ile mbaya hizi ndio akili za mbongo akikujibu nitag
Unaposema diamond kaimba ovyo umeangalia nini mpaka umesema hivyo?Wimbo utakuwa hit kwa sababu wote wana majina, ila wimbo mbaya jamani beat mbovu tushasikiliza kwenye ngoma nyingi hasa za WCB, hata Mond mwenyewe kaimba hovyo. Jay melody na Blue wameua though.