Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
True 😊Nisikilize mara mbili, ngoma ya kawaida sio hit! Ujue ngoma inavyoanza tu unajua hiki chuma, bora wangekuja na idea mpya sio hiyo sampling!
Wimbo mbovu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True 😊Nisikilize mara mbili, ngoma ya kawaida sio hit! Ujue ngoma inavyoanza tu unajua hiki chuma, bora wangekuja na idea mpya sio hiyo sampling!
Utaelewaje mtu anazungumzia wimbo na ameshindwa kuuwekaSijaelewa hata.
Means i expected more than what they did.Hii kweli kabisa poor melody but kwenye creativity ipo ila Beat poor kiufupi wameimba vizuri kuliko Beat na melody yao..
KWahyo wasanii wamekuwa wakubwa kulko nymbo walioimba
🤣😁😂Hii kweli kabisa poor melody but kwenye creativity ipo ila Beat poor kiufupi wameimba vizuri kuliko Beat na melody yao..
KWahyo wasanii wamekuwa wakubwa kulko nymbo walioimba
S2kizzy afanye amapianoYani bongo kinachowaharibia wasanii ni watayarishaji wa beats. wanapiga beats mbovu sana.
Umejuaje kama sio hit song? Na ili iwe hit song unataka iweje?Hapn japo itaenda ila sio hit song
Ngoja ikae siku 3 utaonaNgoma ni nzuri ila sio Kali kihivyo wote wameimba vzr
Mkuu,
Preference zako haziwezi ku judge ukali wa ngoma, hii ni ngoma Kali subiri baada ya wiki moja utaelewa, Tabasamu ilivyopiga Mara ya kwanza watu wali ikataa, ili tunaojua mziki tulijua ni suala la muda, that is origins and pure bongo flavorMkuu,
Mimi nimesha fanya mziki najua so Sina sababu ya kua hater for what??!!
Na nyimbo zangu ghetto enzi za ujana so all in all wimbo ni mbovu huwezi fananisha na ENJOY au KOMANDO
😀😀😊😊😊
Huwezi fananisha tabasamu na vitu vya ovyo ovyo kama wewe hukukubali ni wewe..Preference zako haziwezi ku judge ukali wa ngoma, hii ni ngoma Kali subiri baada ya wiki moja utaelewa, Tabasamu ilivyopiga Mara ya kwanza watu wali ikataa, ili tunaojua mziki tulijua ni suala la muda, that is origins and pure bongo flavor
Huu ni mtizamo wako binafsi, usifosi kila mmoja auchukie wimbo, hii ngoma mi binafsi nimeisikiliza Mara nyingi mno, so baki na msimamo wako, but usifosi wote tuione ngoma ni mbaya, kwangu Mimi hii ni ngoma Kali na itafanya vizuriHuwezi fananisha tabasamu na vitu vya ovyo ovyo kama wewe hukukubali ni wewe..
Ila wengine tumejaaliwa uwezo wa juu kujua kitu kizuri....easy sio siri wamepuyanga..