Je, umeme wako (units za luku) unaisha sana? Zingatia yafuatayo

Je, umeme wako (units za luku) unaisha sana? Zingatia yafuatayo

Mtaala nisaidie hili juzi Kati TV ilikua imezimwa na socket pia lkn ilipiga radi tv ikaungua” hii InaweZekana ama vijana wamenipa sounds [emoji28]
Inawezekana mkuu

Lakini hiyo pia ikupe somo kua earth yako haiko vizuri/inamakosa
Switch inakata waya moja tu
na sio zote
Switch inayokata njia zote ni DP Switch tu
 
[emoji1666][emoji1666][emoji1666] jf kweli shule


Siku moja home umeme ulikua unaisha balaaa
Tukaita fundi alikuja akaangalia
Kumbe panya walitafuna waya ukagusanisha umeme na kile chuma
Kufukua kike chuma tukakuta chamoto kinoma

Akatengeneza na kubadili chuma pia
Tangu hapo ni safi

Asante mkuu
Hii kwa hiyo hata circuit breaker nayo haikukata?
 
Circuit breaker siyo kazi yake kuzuia umeme usivuje, utavuja Tu kama kuna tatizo.
Mkuu unataka kuniambia live wire ikigusana na earth wire circuit breaker hai break? Kwanini maana earthing system iko kama neutral huoni kama kukutana na live ni sawa na short circuit?(kama earthing system iko active).
 
Hii inawezekana kabisa!! Maana power socket inazima waya mmoja either live au neutral hapa ina depend na aliyekufungia wiring
Socket za zamani zilikuwa ni double pole kiasi kwamba ukizima live na neutral zinaachana na zile za output ila sasa hivi double pole unaikuta kwenye dp switch na cooker switch tu!
 
Hivi umeme unawezaje kuvuja ukiwa na Circuit Breaker?
Kamatia hapo hapo

1705609690050.png
 
Mkuu unataka kuniambia live wire ikigusana na earth wire circuit breaker hai break? Kwanini maana earthing system iko kama neutral huoni kama kukutana na live ni sawa na short circuit?(kama earthing system iko active).

Cct breaker ziko nyingi mkuu
Zenye uwezo(sensitivity) tofauti tofauti
Hivyo hutegemeaana
Ile waya ikigusa phase haitrip coz nyingi hua ni overcurrent cct breaker
Hivyo sio rahisi kutrip
 
Nawasikia mafundi umeme wakisema leakage, hivi hii leakege kwenye wiring ya umeme inakuwaje?

Kimsingi leakege ina nyanja nyingi zakiongelea
Ila kikawaida majumbani husababishwa sana na cables
Insulation ikipungua ubora tu inafanya uambukizo wa umeme kwenye waya zake
Na hi hupelekea umeme kwisha ikiwa earth haiko vizuri
 
Nyumbani mna nini na nini?
Mkuu Mimi natumia units 6-7 Kwa siku ambazo naona ni matumizi makubwa kuliko uhalisia.

Kuna fridge 1, fans 3 ambazo muda mwingi zipo on usiku mzima, pump ya maji ya kisima (nawasha mara 2 Kwa week, najaza litre 5000 Kwa lisaa 1 na dk 40), microwave (wastani wa matumizi dk 10 Kwa siku), TV, Taa za 10W kama 12 zinawaka usiku zaidi. Naomba tathmini Yako.
 
Back
Top Bottom