Je, umeme wako (units za luku) unaisha sana? Zingatia yafuatayo

Je, umeme wako (units za luku) unaisha sana? Zingatia yafuatayo

Hivi umeme unawezaje kuvuja ukiwa na Circuit Breaker?
miaka ya nyuma kidogo, izo circuit breakers(RCDs) zilikuwa na tripping sensitivity ndogo, 30mA, zingine mpaka 10mA
ikawa zinaleta false positives nyingi hasa kipindi cha mvua umeme unakatakata sana,
Makampuni yakabadili sensitivity na kuiinua kidogo ili kuondoa false positives za umeme kukatakata, Tronic na wengineo wakaja na RCDs za 300mA, ambayo kimsingi ni kubwa sana

so kukiwa na leakage current ya below 300mA, circuit break haitazima/kata, na utaendelea kuliwa umeme wako

leakages pia inachangiwa na size ya earth wire uliotumia toka kwenye DB mpaka ardhini, usiwe chini ya 4mm² , earthrod inabidi iwe ya pure copper na bei ni 50k kwenda juu, kiasi cha mkaa/chumvi ulichofukia kwa earthpit, etc
 
Mkuu Mimi natumia units 6-7 Kwa siku ambazo naona ni matumizi makubwa kuliko uhalisia.

Kuna fridge 1, fans 3 ambazo muda mwingi zipo on usiku mzima, pump ya maji ya kisima (nawasha mara 2 Kwa week, najaza litre 5000 Kwa lisaa 1 na dk 40), microwave (wastani wa matumizi dk 10 Kwa siku), TV, Taa za 10W kama 12 zinawaka usiku zaidi. Naomba tathmini Yako.

Mkuu kama nlivyosema awali kua
Vitu vya umeme havipimwi kwa aina ya kifaa
Bali kwa watts zake
Hivyo nkijua watts ya kila unachotumia naweza kujua sasa unatumiaje
 
miaka ya nyuma kidogo, izo circuit breakers(RCDs) zilikuwa na tripping sensitivity ndogo, 30mA, zingine mpaka 10mA
ikawa zinaleta false positives nyingi hasa kipindi cha mvua umeme unakatakata sana,
Makampuni yakabadili sensitivity na kuiinua kidogo ili kuondoa false positives za umeme kukatakata, Tronic na wengineo wakaja na RCDs za 300mA, ambayo kimsingi ni kubwa sana

so kukiwa na leakage current ya below 300mA, circuit break haitazima/kata, na utaendelea kuliwa umeme wako

leakages pia inachangiwa na size ya earth wire uliotumia toka kwenye DB mpaka ardhini, usiwe chini ya 4mm² , earthrod inabidi iwe ya pure copper na bei ni 50k kwenda juu, kiasi cha mkaa/chumvi ulichofukia kwa earthpit, etc

KATAA NDOA[emoji23][emoji23][emoji23]

By the way umenena vyema champ[emoji110]
 
🤝🤝🤝 jf kweli shule


Siku moja home umeme ulikua unaisha balaaa
Tukaita fundi alikuja akaangalia
Kumbe panya walitafuna waya ukagusanisha umeme na kile chuma
Kufukua kike chuma tukakuta chamoto kinoma

Akatengeneza na kubadili chuma pia
Tangu hapo ni safi

Asante mku



Japo nimechelewa kuona hii post, kitu nachoweza kukwambia ni kuwa fundi wako alikupa Panadol sio dawa ya kumaliza tatizo kabisa. Kwanini? Kama ulivyosema kulikuwa na Earth leakage, basi kwa CB za kisasa ilipaswa kutrip kabla ya kumwita fundi. Mlipaswa muwe giza mapema sana, chakushangaza mkaendelea kutumia umeme huku mkiatariisha usalama wenu. Kwa kifupi, ni kuwa mfumo wa protection kwenyu iyo nyumba upo hovyo. Hivyo, tegemea kuwa siku pakitokea tatizo kubwa zaidi, kutawaka moto fundi kakimbilia kupiga tepue pale palipo chubuliwa na panya na kubadilisha Earth rod. Kanakwamba hao panya hawataendelea kuwepo au kwa hiyo hawatakula tena waya? Vipi wakirudia tena? Vipi ikiwa mtatumia kifaa kibovu na hakuna real protection hapo?

🤝🤝🤝 jf kweli shule


Siku moja home umeme ulikua unaisha balaaa
Tukaita fundi alikuja akaangalia
Kumbe panya walitafuna waya ukagusanisha umeme na kile chuma
Kufukua kike chuma tukakuta chamoto kinoma

Akatengeneza na kubadili chuma pia
Tangu hapo ni safi

Asante mkuu
Japo nimechelewa kuona hii post, kitu nachoweza kukwambia ni kuwa fundi wako alikupa Panadol sio dawa ya kumaliza tatizo kabisa. Kwanini? Kama ulivyosema kulikuwa na Earth leakage, basi kwa CB za kisasa ilipaswa kutrip kabla ya kumwita fundi. Mlipaswa muwe giza mapema sana, chakushangaza mkaendelea kutumia umeme huku mkiatariisha usalama wenu. Kwa kifupi, ni kuwa mfumo wa protection kwenyu iyo nyumba upo hovyo. Hivyo, tegemea kuwa siku pakitokea tatizo kubwa zaidi, kutawaka moto fundi kakimbilia kupiga tepue pale palipo chubuliwa na panya na kubadilisha Earth rod. Kanakwamba hao panya hawataendelea kuwepo au kwa hiyo hawatakula tena waya? Vipi wakirudia tena? Vipi ikiwa mtatumia kifaa kibovu na hakuna real protection hapo? Kilichofanyika hawali kipo sahihi lakini fundi alipaswa kubadilisha CB maana inaonekana haikufanya kazi yake ipasavyo na iyo ni dalili tosha kuwaeilishakufa.
 
Japo nimechelewa kuona hii post, kitu nachoweza kukwambia ni kuwa fundi wako alikupa Panadol sio dawa ya kumaliza tatizo kabisa. Kwanini? Kama ulivyosema kulikuwa na Earth leakage, basi kwa CB za kisasa ilipaswa kutrip kabla ya kumwita fundi. Mlipaswa muwe giza mapema sana, chakushangaza mkaendelea kutumia umeme huku mkiatariisha usalama wenu. Kwa kifupi, ni kuwa mfumo wa protection kwenyu iyo nyumba upo hovyo. Hivyo, tegemea kuwa siku pakitokea tatizo kubwa zaidi, kutawaka moto fundi kakimbilia kupiga tepue pale palipo chubuliwa na panya na kubadilisha Earth rod. Kanakwamba hao panya hawataendelea kuwepo au kwa hiyo hawatakula tena waya? Vipi wakirudia tena? Vipi ikiwa mtatumia kifaa kibovu na hakuna real protection hapo? Kilichofanyika hawali kipo sahihi lakini fundi alipaswa kubadilisha CB maana inaonekana haikufanya kazi yake ipasavyo na iyo ni dalili tosha kuwaeilishakufa.
🤔🤔
 
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu.

Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia. Ikiwa kuna mdau yupo anafahamu zaidi anaweza kuongezea pia.

Vifaa vyote vinavyotumia umeme hupimwa kwa watts. Watts nyingi maana yake kitatumia umeme mwingi kuzidi chenye watts chache.

Hatuongelei ukubwa wa muonekano wa kifaa tunaongelea watts zake..

Hivyo kinaweza kua kidogo kwa umbo ila kikawa kinatumia umeme mwingi kuzidi kile kikubwa kwa umbo.

Watu wengi husema”yaani sina fridge ila umeme wangu unaisha sana”
Wanasahau ya kua fridge za kisasa nyingi sasahivi vinamfumo wa kisasa wakufanya zitumie umeme mchache

Hivyo ununuapo vifaa vyako basi yakupasa sana uzingatie watts zake
Japo kua baadhi ya makampuni huandika uwongo juu ya vifaa vyao
Hivyo unashauriwa kununua vifaa kutoka kwenye makampuni yakuaminika zaidi

LAKINI pia watu wengi hupuuzia earthing ya nyumba zao
Na pengine sio mala moja kupita kwenye nyumba nyingi na kukuta earth wire imekatwa na watoto wala usizingatie.

Ila earth wire inapokatwa hushindwa kukusaidia kulinda vifaa vyako wakati wa mvua na radi bali ku balance utembeaji wa umeme wako pindi waya zako zinapopoteza ubora wake
Hivyo fuatilia earthing system yako
Hakikisha kile chuma kilichofukiwa aridhini kipo na hakijaliwa na kutu.

Kuna muda panya hutafuna waya kisha earth wire inagusana na live wire
Kitu kitakachopelekea earth kubeba umeme na kupeleka aridhini
(Hapa umeme hukimbia pasipo mfano).

Je, utajuaje kama earth yako inatumia umeme wako? Hapa panaitaji utaalamu kidogo. Itakubidi upime voltage kati ya live na earth na hakikisha unapata 220ACV kama upimavyo live na neutral.

Ukiona hupati hivyo Pima neutral na earth ukiona inasoma 220ACV basi jua earth yako inadaka umeme
Shughulikia hilo haraka iwezekanavyo.

Pia tumia njia hi: Zima kila kitu (usichomeke hata charge ya simu)…kisha angalia kama units zako zinapungua, kama ndio basi yawezekana umeme wako unavuja …hivyo ita fundi aangalie mfumo wako wa earth.

Lakini pia kumekua na changamoto kidogo juu ya utumiaji wa umeme juu ya mtu mmoja kwa mwingine kwenye nyumba za kupanga.

Jambo hili yaweza kua vigumu kidogo kulitolea majibu ya mojakwa moja kwakua huwezi jua matumizi ya mtu ndani kwake na suruhisho la jambo hili ni kila mtu kutumia mita yake.

Thus ukipita baadhi ya nyumba watu huvuta mita zao pekee(separation meter)

Ikumbukwe kua kazi ya meter ya Tanesco ni kupima matumizi yako ya umeme kulinganishwa na vifaa vyako
Hivyo vilevile unavyoongeza kuwasha vifaa vyako na kuvitumia kwa muda mrefu ndivyo unavyoongeza ulaji wako wa units zako.

Hivyo unashauriwa kuzima kabisa vifaa vyako pindi uonapo huvutumii(usiweke standby bali vizime kabisa)
Kwakua standby hupunguz tu ulaji na sio kukata 100%.

Lakini pia nkuongezee hili
Meter yako inauwezo wa kupima utumiaji wako wa umeme ..najua yaweza kua hujanielewa hapa.

Kadri unapowasha vitu vyako maana yake basi ndivyo unaruhusu mkondo wa umeme kutembea kwa wingi
Na meta inatambua, hivyo unaweza kuangalia mtililiko wa umeme kwa kuingiza code tu kulingana na meter yako.

Kama meter yako ni EDMI yaani inaanzia 430.. bonyeza 96 then ok
Itasoma current yako. Namba hizo zinakua kubwa kadri ya uwashavyo vifaa vyako na kua ndogo kadri ya uzimavyo vifaa vyako.

Hivyo basi ikiwa utazima kila kitu na kubonyeza 96 then oky na meter yako isiandike 000 basi yawezekana kuna shida kwenye wiring yako.

Nb code hizi hutofautiana kulingana na AINA ya meter yako.

Kwa wale wanaotumia meter za Inhemita yaani zenye 37… tutabonyeza 005 kisha ok

Karibu.
Kuna Nyumba Naishi Apa Yani Mdaa Wa Kulala Nazima Taa Ila Bado Inakuwa Inatoa Mwanga Kwa Mbali , Hii Shida Nini Hasa
 
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu.

Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia. Ikiwa kuna mdau yupo anafahamu zaidi anaweza kuongezea pia.

Vifaa vyote vinavyotumia umeme hupimwa kwa watts. Watts nyingi maana yake kitatumia umeme mwingi kuzidi chenye watts chache.

Hatuongelei ukubwa wa muonekano wa kifaa tunaongelea watts zake..

Hivyo kinaweza kua kidogo kwa umbo ila kikawa kinatumia umeme mwingi kuzidi kile kikubwa kwa umbo.

Watu wengi husema”yaani sina fridge ila umeme wangu unaisha sana”
Wanasahau ya kua fridge za kisasa nyingi sasahivi vinamfumo wa kisasa wakufanya zitumie umeme mchache

Hivyo ununuapo vifaa vyako basi yakupasa sana uzingatie watts zake
Japo kua baadhi ya makampuni huandika uwongo juu ya vifaa vyao
Hivyo unashauriwa kununua vifaa kutoka kwenye makampuni yakuaminika zaidi

LAKINI pia watu wengi hupuuzia earthing ya nyumba zao
Na pengine sio mala moja kupita kwenye nyumba nyingi na kukuta earth wire imekatwa na watoto wala usizingatie.

Ila earth wire inapokatwa hushindwa kukusaidia kulinda vifaa vyako wakati wa mvua na radi bali ku balance utembeaji wa umeme wako pindi waya zako zinapopoteza ubora wake
Hivyo fuatilia earthing system yako
Hakikisha kile chuma kilichofukiwa aridhini kipo na hakijaliwa na kutu.

Kuna muda panya hutafuna waya kisha earth wire inagusana na live wire
Kitu kitakachopelekea earth kubeba umeme na kupeleka aridhini
(Hapa umeme hukimbia pasipo mfano).

Je, utajuaje kama earth yako inatumia umeme wako? Hapa panaitaji utaalamu kidogo. Itakubidi upime voltage kati ya live na earth na hakikisha unapata 220ACV kama upimavyo live na neutral.

Ukiona hupati hivyo Pima neutral na earth ukiona inasoma 220ACV basi jua earth yako inadaka umeme
Shughulikia hilo haraka iwezekanavyo.

Pia tumia njia hi: Zima kila kitu (usichomeke hata charge ya simu)…kisha angalia kama units zako zinapungua, kama ndio basi yawezekana umeme wako unavuja …hivyo ita fundi aangalie mfumo wako wa earth.

Lakini pia kumekua na changamoto kidogo juu ya utumiaji wa umeme juu ya mtu mmoja kwa mwingine kwenye nyumba za kupanga.

Jambo hili yaweza kua vigumu kidogo kulitolea majibu ya mojakwa moja kwakua huwezi jua matumizi ya mtu ndani kwake na suruhisho la jambo hili ni kila mtu kutumia mita yake.

Thus ukipita baadhi ya nyumba watu huvuta mita zao pekee(separation meter)

Ikumbukwe kua kazi ya meter ya Tanesco ni kupima matumizi yako ya umeme kulinganishwa na vifaa vyako
Hivyo vilevile unavyoongeza kuwasha vifaa vyako na kuvitumia kwa muda mrefu ndivyo unavyoongeza ulaji wako wa units zako.

Hivyo unashauriwa kuzima kabisa vifaa vyako pindi uonapo huvutumii(usiweke standby bali vizime kabisa)
Kwakua standby hupunguz tu ulaji na sio kukata 100%.

Lakini pia nkuongezee hili
Meter yako inauwezo wa kupima utumiaji wako wa umeme ..najua yaweza kua hujanielewa hapa.

Kadri unapowasha vitu vyako maana yake basi ndivyo unaruhusu mkondo wa umeme kutembea kwa wingi
Na meta inatambua, hivyo unaweza kuangalia mtililiko wa umeme kwa kuingiza code tu kulingana na meter yako.

Kama meter yako ni EDMI yaani inaanzia 430.. bonyeza 96 then ok
Itasoma current yako. Namba hizo zinakua kubwa kadri ya uwashavyo vifaa vyako na kua ndogo kadri ya uzimavyo vifaa vyako.

Hivyo basi ikiwa utazima kila kitu na kubonyeza 96 then oky na meter yako isiandike 000 basi yawezekana kuna shida kwenye wiring yako.

Nb code hizi hutofautiana kulingana na AINA ya meter yako.

Kwa wale wanaotumia meter za Inhemita yaani zenye 37… tutabonyeza 005 kisha ok

Karibu.
Kuna Nyumba Naishi Apa Yani Mdaa Wa Kulala Nazima Taa Ila Bado Inakuwa Inatoa Mwanga Kwa Mbali , Hii Shida Nini Hasa
 
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu.

Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia. Ikiwa kuna mdau yupo anafahamu zaidi anaweza kuongezea pia.

Vifaa vyote vinavyotumia umeme hupimwa kwa watts. Watts nyingi maana yake kitatumia umeme mwingi kuzidi chenye watts chache.

Hatuongelei ukubwa wa muonekano wa kifaa tunaongelea watts zake..

Hivyo kinaweza kua kidogo kwa umbo ila kikawa kinatumia umeme mwingi kuzidi kile kikubwa kwa umbo.

Watu wengi husema”yaani sina fridge ila umeme wangu unaisha sana”
Wanasahau ya kua fridge za kisasa nyingi sasahivi vinamfumo wa kisasa wakufanya zitumie umeme mchache

Hivyo ununuapo vifaa vyako basi yakupasa sana uzingatie watts zake
Japo kua baadhi ya makampuni huandika uwongo juu ya vifaa vyao
Hivyo unashauriwa kununua vifaa kutoka kwenye makampuni yakuaminika zaidi

LAKINI pia watu wengi hupuuzia earthing ya nyumba zao
Na pengine sio mala moja kupita kwenye nyumba nyingi na kukuta earth wire imekatwa na watoto wala usizingatie.

Ila earth wire inapokatwa hushindwa kukusaidia kulinda vifaa vyako wakati wa mvua na radi bali ku balance utembeaji wa umeme wako pindi waya zako zinapopoteza ubora wake
Hivyo fuatilia earthing system yako
Hakikisha kile chuma kilichofukiwa aridhini kipo na hakijaliwa na kutu.

Kuna muda panya hutafuna waya kisha earth wire inagusana na live wire
Kitu kitakachopelekea earth kubeba umeme na kupeleka aridhini
(Hapa umeme hukimbia pasipo mfano).

Je, utajuaje kama earth yako inatumia umeme wako? Hapa panaitaji utaalamu kidogo. Itakubidi upime voltage kati ya live na earth na hakikisha unapata 220ACV kama upimavyo live na neutral.

Ukiona hupati hivyo Pima neutral na earth ukiona inasoma 220ACV basi jua earth yako inadaka umeme
Shughulikia hilo haraka iwezekanavyo.

Pia tumia njia hi: Zima kila kitu (usichomeke hata charge ya simu)…kisha angalia kama units zako zinapungua, kama ndio basi yawezekana umeme wako unavuja …hivyo ita fundi aangalie mfumo wako wa earth.

Lakini pia kumekua na changamoto kidogo juu ya utumiaji wa umeme juu ya mtu mmoja kwa mwingine kwenye nyumba za kupanga.

Jambo hili yaweza kua vigumu kidogo kulitolea majibu ya mojakwa moja kwakua huwezi jua matumizi ya mtu ndani kwake na suruhisho la jambo hili ni kila mtu kutumia mita yake.

Thus ukipita baadhi ya nyumba watu huvuta mita zao pekee(separation meter)

Ikumbukwe kua kazi ya meter ya Tanesco ni kupima matumizi yako ya umeme kulinganishwa na vifaa vyako
Hivyo vilevile unavyoongeza kuwasha vifaa vyako na kuvitumia kwa muda mrefu ndivyo unavyoongeza ulaji wako wa units zako.

Hivyo unashauriwa kuzima kabisa vifaa vyako pindi uonapo huvutumii(usiweke standby bali vizime kabisa)
Kwakua standby hupunguz tu ulaji na sio kukata 100%.

Lakini pia nkuongezee hili
Meter yako inauwezo wa kupima utumiaji wako wa umeme ..najua yaweza kua hujanielewa hapa.

Kadri unapowasha vitu vyako maana yake basi ndivyo unaruhusu mkondo wa umeme kutembea kwa wingi
Na meta inatambua, hivyo unaweza kuangalia mtililiko wa umeme kwa kuingiza code tu kulingana na meter yako.

Kama meter yako ni EDMI yaani inaanzia 430.. bonyeza 96 then ok
Itasoma current yako. Namba hizo zinakua kubwa kadri ya uwashavyo vifaa vyako na kua ndogo kadri ya uzimavyo vifaa vyako.

Hivyo basi ikiwa utazima kila kitu na kubonyeza 96 then oky na meter yako isiandike 000 basi yawezekana kuna shida kwenye wiring yako.

Nb code hizi hutofautiana kulingana na AINA ya meter yako.

Kwa wale wanaotumia meter za Inhemita yaani zenye 37… tutabonyeza 005 kisha ok

Karibu.
Asante sana 💯
 
Kuna Nyumba Naishi Apa Yani Mdaa Wa Kulala Nazima Taa Ila Bado Inakuwa Inatoa Mwanga Kwa Mbali , Hii Shida Nini Hasa
1 yawezekana kuna current leaked hivyo inakupa ishara kua earthing yako haiko oky
2 kuna baadhi ya taa hasa za waats 10 kuja chini kua zina capacitor ndan hivyo chaja hujibakiza kiasi ukizima taa inakua inaonekana nyeupe kidogo sana
 
Mkuu Mimi natumia units 6-7 Kwa siku ambazo naona ni matumizi makubwa kuliko uhalisia.

Kuna fridge 1, fans 3 ambazo muda mwingi zipo on usiku mzima, pump ya maji ya kisima (nawasha mara 2 Kwa week, najaza litre 5000 Kwa lisaa 1 na dk 40), microwave (wastani wa matumizi dk 10 Kwa siku), TV, Taa za 10W kama 12 zinawaka usiku zaidi. Naomba tathmini Yako.
Kwa taa tu peke yake hapo kwa siku kama zikiwaka jumla ya saa 11 utakuwa umetumia watts 1,320 kwa siku yaani Unit 1.32. Hapo bado fridge na wengi wqnapenda ya mtumba yametengenezwa miaka 10 iliyopita. Pia Microwave na TV kagua watts zake.

Unaweza kukuta Microwave ina watts 3,200 hizo dakika 10 ni sawa na unit 0.53 kwa siku.

Kikubwa tununue vifaa kwa malengo, watts ziandane na mahitaji yetu.
 
Fridge na AC zote zinatumia Compressor, Kwa nini AC inavyonza unit badala yabkunusa kama Fridge.
 
Back
Top Bottom