Je umemruhusu mke/mpenz wako aende kusalimia Christmas? Mwenzio kaenda kupasha kiporo huko

Je umemruhusu mke/mpenz wako aende kusalimia Christmas? Mwenzio kaenda kupasha kiporo huko

Hivi kwa nini huwa hata mnaoa kama hamuwezi hata waamini wenzi wenu? I mean, mna maisha magumu sana aisee duh!
 
Aliwe tu mbn me nakula fresh tu ila ina kera 😡😡😡😡
 
Hila eti mke wangu kipindi hiki cha sikukuu ananiacha (na watoto kama tunao) kwenda kwao kula sikukuu? Mwanaume wa aina hiyo kaishapoteza nguvu za kummiliki mke! Kwanini asiende siku nyingine?
 
Mpaka sasa hakuna namna yoyote, nimejitahidi kumwekea vikwazo vya Viza na nauli mpaka nilipo kwa kuiheshimu ndoa yake, Hollaa bado kajaa ganzi akilini.

Kuna picha ya mdogo wake alinipostia kimakosa wakiwa bwiiii japo aliifuta papo hapo kwangu ilibaki kipindi natumia gb whatsaap, niliwapostia wote kwa pamoja wakiwa wote, tena kwa kumsifia alivyojaliwa, ili tu kumpunguza moto wanione mshenzi pia Holaaaa .

Na ili kumpa stress akate tamaa nikamtongoza mdogo wake macho makavu video call live akiwepo japo hakusikia mazungumzo pia Holaaa
Dogo katoa underground Green Light atapiga kimya.
Sasa natoka airport kumchukua.
Kule mdogo mtu sina namna itabidi tu......

Bora wanione mshenzi ili wabaki salama na ndoa zao, na mimi wanipunguzie gunia la dhambi.
BTW mkata utepe hasahauliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji527][emoji527][emoji527][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hila eti mke wangu kipindi hiki cha sikukuu ananiacha (na watoto kama tunao) kwenda kwao kula sikukuu? Mwanaume wa aina hiyo kaishapoteza nguvu za kummiliki mke! Kwanini asiende siku nyingine?
Mkuu nakubaliana nawe asilimia mia mwanaume unakubali vp aende mwenyewe na wewe upo tu
 
Mwanamke hachungwi kama unavyofikiri. Asubuhi unaenda kazini, jamaa naye anaingia mpaka saa 9 alasiri ndiyo anatoka. Hela ya matumizi ndiyo anatumia kumnunulia chakula mchepuko wake. Wewe kuwa busy na suala la uchumi, mpende na mjali mkeo na onesha muda wowote akizingua unamuacha. Wewe humo ndani, mkeo anaenda kuoga, jirani yako naye anaingia bafuni kula mzigo. Ukimchunga mwanamke, wewe siyo mwanaume rijali 100%
Watakutana na wale wapenzi wao wa zamani watapasha kiporo kipindi hiki.....we unajua kaenda kusalimia wazazi ndugu na jamaa lakin kaa ukijua kiporo kinapashwa huko brooo amkaaaa
 
Mpaka sasa hakuna namna yoyote, nimejitahidi kumwekea vikwazo vya Viza na nauli mpaka nilipo kwa kuiheshimu ndoa yake, Hollaa bado kajaa ganzi akilini.

Kuna picha ya mdogo wake alinipostia kimakosa wakiwa bwiiii japo aliifuta papo hapo kwangu ilibaki kipindi natumia gb whatsaap, niliwapostia wote kwa pamoja wakiwa wote, tena kwa kumsifia alivyojaliwa, ili tu kumpunguza moto wanione mshenzi pia Holaaaa .

Na ili kumpa stress akate tamaa nikamtongoza mdogo wake macho makavu video call live akiwepo japo hakusikia mazungumzo pia Holaaa
Dogo katoa underground Green Light atapiga kimya.
Sasa natoka airport kumchukua.
Kule mdogo mtu sina namna itabidi tu......

Bora wanione mshenzi ili wabaki salama na ndoa zao, na mimi wanipunguzie gunia la dhambi.
BTW mkata utepe hasahauliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaahhahahaaha unajua we jamaa unaroho mbaya sana
 
Back
Top Bottom