Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli wewe [emoji28][emoji28]Mmh siwezi kusave hivi aiseee na tangu nianze mahusiano sijawahi kumsave mtu hivi ukiona nimemsave jina la mahaba labdaa kama nataka nimtumie screenshoot nikimaliza nafuta nasave jina lake au ukoo wake
Tapeli wewe [emoji28][emoji28]
Akili kama yangu yan namsave jina lake akitaka nimtumie namtumia ikiwa na jina zuri session hiyo ikipita bas jina lake linarudi 😀 Ilikuwaga miaka ile nikiwa na mpenzi now sijui hata yanaendeleajeMmh siwezi kusave hivi aiseee na tangu nianze mahusiano sijawahi kumsave mtu hivi ukiona nimemsave jina la mahaba labdaa kama nataka nimtumie screenshoot nikimaliza nafuta nasave jina lake au ukoo wake
Jina baya sana BONZACLADO🤣Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi, ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika.
Kwani hata kama mnachepukiana si usave jina lake tu halisi badala ya kuweka majina maalum ya kuonesha uhusiano wenu? kama babe, honey, sweetiee n.k. si msave tu JUMA, JOSE, TINA au MWAJUMA?
Kila nikitafakari nakosa mantiki ya watu kufanya hivyo. Je, siku ukigundua mpenzi wako amekusave tofauti kwenye simu utajisikia na kumuelewaje?
Wife ❤️😂😂😂😂
ITAKUWA UNASAFIRI SAFIRI SANA...NA ALICHOKA...AKAAMUA KUKUSAVE HIVYO KWA KUCHUKIA...Kuna mmoja nilikuta kanisave Geographer[emoji3][emoji3][emoji3]nilijiskia vibaya sana na ndo ikawa sababu ya kuto m consider as prospective wife candidate
Siku nikigundua kanisave tofauti na jina langu achilia mbali majina ya kimahaba ndio siku ambayo tunapigana chini hapo hapo bila kukupesa macho.Sababu kama ameshindwa ni save na Love emoj basi anisave my official name sio majina ya ajabu ajabu hapana kwa kweli.Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi, ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika.
Kwani hata kama mnachepukiana si usave jina lake tu halisi badala ya kuweka majina maalum ya kuonesha uhusiano wenu? kama babe, honey, sweetiee n.k. si msave tu JUMA, JOSE, TINA au MWAJUMA?
Kila nikitafakari nakosa mantiki ya watu kufanya hivyo. Je, siku ukigundua mpenzi wako amekusave tofauti kwenye simu utajisikia na kumuelewaje?
Umeshaharibu ukiona ivoMke wngu alinisevu mume wng kipenzi 1 2 3 laini zangu zote 3 nowdays nimekuta amesevu jina langu na baba fulani
[emoji192][emoji192][emoji192]Vijana wa kataaa ndoa wanapita nyau nyau
Kwani umejifunza ubondia wa aina gani mashuati au karatee😂😂😂Siku nikigundua kanisave tofauti na jina langu achilia mbali majina ya kimahaba ndio siku ambayo tunapigana chini hapo hapo bila kukupesa macho.Sababu kama ameshindwa ni save na Love emoj basi anisave my official name sio majina ya ajabu ajabu hapana kwa kweli.