Je Umeridhika na kozi/chuo ulichochaguliwa ?!


I need to ask you cobber hivi kuna tofauti gani kati ya petroleum chemistry ya hapo kwenu udsm na petroleum engineering ya udom coz nina wasi na ndotozo with regard to faculty you're going to take.
 
vyenye majina ya watakatifu vimezidi khaa! Yaan yuko dogo ana E E F wamemchukua! Hawaachi k2! Mpigamsuli & oilsumu wkt mwingine wako sawa kuviponda hivi vyuo.

Anzisheni vyenu na nyie vitukuu wa mtume muite majina ya wafie dini wenu, wakati mwingine huwa nawashangaa sana mbona mkichaguliwa kwenye hivyo mnaenda tena mnasoma kwa ada nafuu na wamewajengea mpaka misikiti acha unafiki kijana.
 
Me nilikipenda udom toka kinaanzishwa...na nimepangiwa huko..
 
Kama kozi yako ipo kwenye zile big 5, 1.engineering 2.law 3.medicine 4.architecture 5.accounting&finance, ndio uridhike nayo hio kozi
 
 
kiukweli nimechagulia course ambayo ilikuwa chaguo langu la tatu bt nayo ni nzuri n chuo kizuri pia so inanipa hamu nikasome
 

hakika ww wasema,thanx
 
Nimechagulia computer science pale ifm ila naitaka banking n finance palepaje ifm.
 
Kama kozi yako ipo kwenye zile big 5, 1.engineering 2.law 3.medicine 4.architecture 5.accounting&finance, ndio uridhike nayo hio kozi

acha kujishaua bro! kwahiyo katika hizo kama hakuna hata moja nnayoipenda inakuwaje? mi nimeridhika na niliyochaguliwa na ndo ninayoipenda! we umechaguliwa ipi?
 
acha kujishaua bro! kwahiyo katika hizo kama hakuna hata moja nnayoipenda inakuwaje? mi nimeridhika na niliyochaguliwa na ndo ninayoipenda! we umechaguliwa ipi?

Mimi nipo Masters ya Law
 
Mimi nipo Masters ya Law

point of correction..! Hivi ile procurement and marketing ya ushirikaa umeiacha wap? Mpaka uwe unasoma masters ya law...?
onyO ; citaki malumbano! Overr
 
Last edited by a moderator:
point of correction..! Hivi ile procurement and marketing ya ushirikaa umeiacha wap? Mpaka uwe unasoma masters ya law...?
onyO ; citaki malumbano! Overr

teh! teh! teh! nimelipenda onyo!
 
Last edited by a moderator:
Wamenipeleka Mipango
Bachelor Degree in Dvt Planning
Naomben ushaur wenu kua nibadilishe au vp?

kwani uliichagua au ulichaguliwa? subiri waje wanaoijua wakushauri, ila twende tu mipango tutakuwa wote!
 
wamenipeleka science with education udsm yan wameniharhia future yangu ya kuwa docta ila cjui nibadilshe plz naomben ushaur wenu wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…