kwa Tanzania hapa big 5 inategemea we unamjua nani na anafanya ofisi gani, watu wapo makazini vitu walivyosoma havifanani na kazi wanazofanya na bado wanalipwa vizuri 2. Make connections that is what important.
Nimechaguliwa. Bachelor of Art In Cultural Anthropology and Tourism. (BACAT). IRINGA UNIVERSITY.
mwambie dogo mpiga msuli anafikiri mambo eaz
ya kwako unayosoma mbona hamna hapo ile ya chuo cha ushirikaa moshii..(procurement and marketing)! Au ndo itakuwa kwenye big 1000...! hahaahaahaaha mpigachaboo
Nenda BAF ,ipo kwenye big 5, 1.engineering 2.law 3.medicine 4.architecture 5.accounting&finance , ipo kwenye big 5 ,
nilipata kozi hiyo siku nyingi sana ila nilipiga chini nikaenda kwingine
Nimechaguliwa bachelor in counceling. Iringa university ni nzur?
building economics
nmekusoma bro upo mwaka wa ngapidogo karibu sana scem ni course inayokuandaa kuwa quantity surveyor..! Inapatikana ardhi university tuu kwa tanzania na university of nairobi kenya.! So ukisoma hiyo course kampuni zote za ujenzi iwe private au serikalini panakuhusuu as mkadiriaji majenzi..! Karibu aruuuu-uclas chuo bora tanzania
overr
nmekusoma bro upo mwaka wa ngapi
Mkaka mimi nipo Bsc in maths & xstics. Sijui hii ikoje na ground yake ni wapi???
staki nataka , statistics
draw combined graph of rain and temperature...ha ha ha..