kwa Tanzania hapa big 5 inategemea we unamjua nani na anafanya ofisi gani, watu wapo makazini vitu walivyosoma havifanani na kazi wanazofanya na bado wanalipwa vizuri 2. Make connections that is what important.
mwambie dogo. Asione wakubwa zake hadi tumeamua kurud vyuoni kwa faculty zingine akadhan ni wajinga.