Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Ni pale mpo katika kundi kutekeleza kazi fulani Katika lile kundi wapo watakao kaa pembeni kuangalia hawagusi chochote, Wapo watakao papasa tu ili mradi waonekane nao walishiriki kwenye hiyo kazi Na yupo mhanga atakae jitolea kuitekeleza ile kazi kikamilifu.
Endapo kazi itatiki vyema basi sifa hutopewa wewe uliyeshiriki kikamilifu atapewa mtu mwingine tofauti yaani mtu wao wanayemkubali wakati yeye alipapasa tu na wanajifanya kama vile hawaoni mchango wako yaani kama ni asante au asante atapewa huyo waliyempaisha.
Ila kazi ikibuma utasikia fulani huyo ndio kaharibu nashindwa kuelewa hii ina maana.gani ni chuki au ni roho za kwanini?
Je ulipo kumbana na hali hii ulichukua hatua gani kupambana nao ili iaminike wewe ndiye uliye fanya hiyo kazi?
Endapo kazi itatiki vyema basi sifa hutopewa wewe uliyeshiriki kikamilifu atapewa mtu mwingine tofauti yaani mtu wao wanayemkubali wakati yeye alipapasa tu na wanajifanya kama vile hawaoni mchango wako yaani kama ni asante au asante atapewa huyo waliyempaisha.
Ila kazi ikibuma utasikia fulani huyo ndio kaharibu nashindwa kuelewa hii ina maana.gani ni chuki au ni roho za kwanini?
Je ulipo kumbana na hali hii ulichukua hatua gani kupambana nao ili iaminike wewe ndiye uliye fanya hiyo kazi?