Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mpanda huko Lugonesi ndani ndani msitu mzito wa NTAKATA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia nasikia msitu wake kuna kuku weusi tuu ambao wanajifuga wenyewe hamna mmilikiNyeregenge ni kijiji kinachopatikana Musoma vijijini mkoani Mara.
Kijiji hiki hakina shule, hakikuwa na msikiti wala kanisa, na kimepata kanisa lake la kwanza miaka ya hivi karibuni, 2017 ambapo Wakatoliki wamejenga kanisa.
Kijiji hiki kina watu waliobobea kwenye mila na tamaduni ambapo hadi leo watoto mapacha, albino, walemavu na njiti hutupwa kwenye msitu wa kafara.
Huwezi kuingia Nyeregenge kama umebeba nyama mbichi, una jeraha, wanawake wakiwa kwenye siku zao nao hawawezi kuingia, kwani lazima utakufa.
Mama wenye ujauzito na wenye watoto hawaruhusiwi kuingia ndani ya Nyeregenge.
Hakika Tanzania ni kubwa sana na ina mengi sana hayajaandikwa
[emoji23][emoji23]duhh hatariiiHuko ndio kwetu aisee, huko bhana ukiwa tepetepe unakwenda na maji.
Huko hata mzawa akienda nje ya kisiwa, akiwa anarudi lazima atambike kwanza ndipo aweze kuingia kisiwani, vinginevyo anafia majini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweeeh...Huko siku zote walikuwa wanajua Nyerere ndiye mtawala, hadi alipoingia Magufuli ndio wakajua ndio rais wa pili
Msitu wa masokweMpanda huko Lugonesi ndani ndani msitu mzito wa NTAKATA
Usiache pia kwenda Nyambitilwa na Ikungu Lya Bashashi
Kwenye ngome ya wachawi wa kisukumaNdio wapi?
Ujue sijakuelewa bado, andika kiutu uzima not as insta or tweeter reply dogo.Huko ndio kwetu aisee, huko bhana ukiwa tepetepe unakwenda na maji.
Huko hata mzawa akienda nje ya kisiwa, akiwa anarudi lazima atambike kwanza ndipo aweze kuingia kisiwani, vinginevyo anafia majini
Matangazo ya redio yanafika huko?Nyeregenge ni kijiji kinachopatikana Musoma vijijini mkoani Mara.
Kijiji hiki hakina shule, hakikuwa na msikiti wala kanisa, na kimepata kanisa lake la kwanza miaka ya hivi karibuni, 2017 ambapo Wakatoliki wamejenga kanisa.
Kijiji hiki kina watu waliobobea kwenye mila na tamaduni ambapo hadi leo watoto mapacha, albino, walemavu na njiti hutupwa kwenye msitu wa kafara.
Huwezi kuingia Nyeregenge kama umebeba nyama mbichi, una jeraha, wanawake wakiwa kwenye siku zao nao hawawezi kuingia, kwani lazima utakufa.
Mama wenye ujauzito na wenye watoto hawaruhusiwi kuingia ndani ya Nyeregenge.
Hakika Tanzania ni kubwa sana na ina mengi sana hayajaandikwa
Gamboshi iko overrated Sana ni kijiji cha kawaida kipo Simiyu ,bariadi kimepakana na ngulyatiNahitaji kwenda kusurvey maana nasikia sana then niende na gamboshi
Kile kijiji kama huna macho ya ndani ndio utasema kiko overratedGamboshi iko overrated Sana ni kijiji cha kawaida kipo Simiyu ,bariadi kimepakana na ngulyati
Sema kuna waganga kibao
Ushawah kufika au unaleta ubishi kiongoziKile kijiji kama huna macho ya ndani ndio utasema kiko overrated
Yatokee wapi? Huko kisiwani ni eneo tengefuMatangazo ya redio yanafika huko?
CCM waongo sana, sumu kutoka mgodini ndizo ziliua maelfu ya samakiBujibuji Simba Nyanaume usikose kufika Daraja la Kirumi ujionee Utundu wa Mtu mweupe na hapo hapo Mto Mara utupigie Picha za Vinyesi vya Ng'ombe tani Bilioni 1 na Mikojo tani Bilioni 1 na hao Ng'ombe wa Mara tuwaone ni wakubwa kiasi gani Mkuu.