Je, umeshawahi kusikia kijiji cha Nyeregenge kilichopo Musoma?

Je, umeshawahi kusikia kijiji cha Nyeregenge kilichopo Musoma?

Nyeregenge ni kijiji kinachopatikana Musoma vijijini mkoani Mara.

Kijiji hiki hakina shule, hakikuwa na msikiti wala kanisa, na kimepata kanisa lake la kwanza miaka ya hivi karibuni, 2017 ambapo Wakatoliki wamejenga kanisa.

Kijiji hiki kina watu waliobobea kwenye mila na tamaduni ambapo hadi leo watoto mapacha, albino, walemavu na njiti hutupwa kwenye msitu wa kafara.

Huwezi kuingia Nyeregenge kama umebeba nyama mbichi, una jeraha, wanawake wakiwa kwenye siku zao nao hawawezi kuingia, kwani lazima utakufa.

Mama wenye ujauzito na wenye watoto hawaruhusiwi kuingia ndani ya Nyeregenge.

Hakika Tanzania ni kubwa sana na ina mengi sana hayajaandikwa
Pia nasikia msitu wake kuna kuku weusi tuu ambao wanajifuga wenyewe hamna mmiliki
 
Huo msitu uko wapi ukianzia Mgango mpaka Musoma mjini kuna msitu upi? VICHAKA VICHACHE VIPO.Kuna kilima kule majita mwishoni kunaitwa Kurugee ndio najua watu wanapelekaga wanyama wanakaa huko( BUSEKELA?) halafu ukiwahitaji kuchinja unaenda kuwachukua. Hakuna wizi ila naskia kuna mtu AMEWANYANG'ANYA HUO MLIMA KUWA ANAWEKEZA. HAO KUKU WEUSI WANAOKAA MSITUNI NINGEENDA KUWACHUKUA TU KWA KITOWEO.
 
Huko ndio kwetu aisee, huko bhana ukiwa tepetepe unakwenda na maji.

Huko hata mzawa akienda nje ya kisiwa, akiwa anarudi lazima atambike kwanza ndipo aweze kuingia kisiwani, vinginevyo anafia majini
Ujue sijakuelewa bado, andika kiutu uzima not as insta or tweeter reply dogo.
 
Nyeregenge ni kijiji kinachopatikana Musoma vijijini mkoani Mara.

Kijiji hiki hakina shule, hakikuwa na msikiti wala kanisa, na kimepata kanisa lake la kwanza miaka ya hivi karibuni, 2017 ambapo Wakatoliki wamejenga kanisa.

Kijiji hiki kina watu waliobobea kwenye mila na tamaduni ambapo hadi leo watoto mapacha, albino, walemavu na njiti hutupwa kwenye msitu wa kafara.

Huwezi kuingia Nyeregenge kama umebeba nyama mbichi, una jeraha, wanawake wakiwa kwenye siku zao nao hawawezi kuingia, kwani lazima utakufa.

Mama wenye ujauzito na wenye watoto hawaruhusiwi kuingia ndani ya Nyeregenge.

Hakika Tanzania ni kubwa sana na ina mengi sana hayajaandikwa
Matangazo ya redio yanafika huko?
 
Back
Top Bottom