Je, umeshawahi kusikia kijiji cha Nyeregenge kilichopo Musoma?

Mama mjamzito haruhusiwi kuingia ina maana wanaoishi huko hawapati mimba na wanawake wa huko hawapati siku zao
 
Aisee hapo wanaona wao kwa wao tu nazani
 
Na maeneo kama ayo kufikiwa na maendeleo huwa ni shida sana
 
Mkoa wa Mara naupenda maana wanawake wa kijita watamu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…