Je, umeshawahi mkuta mtu anatamka kimakosa neno la kiingereza/ Kiswahili/ jina la mtu hadi ukamhurumia?

Je, umeshawahi mkuta mtu anatamka kimakosa neno la kiingereza/ Kiswahili/ jina la mtu hadi ukamhurumia?

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Je, ni neno gani la kiingereza, Kiswahili au jina la mtu ambalo mtu wako wa karibu au mtu yeyote unayemfahamu aliwahi kutamka kimakosa mpaka ukaona aibu kwa niaba yake,

Ukamshusha hadhi uliyokuwa unampa au ukamhurumia.
Binafsi nimekuwa nikitana na watu tofauti tofauti wasomi na wasio wasomi ambao wanatamka maneno ya lugha tofautitofauti hasa ya kiingereza isivyotakiwa.

Japokuwa Mimi siyo mjuzi wa mambo mengi lakini nikiwa sina uhakika na ninachotaka kusema basi naahirisha Kwanza ili nisiwe kituko. Baadhi ya maneno hayo yaliyokosewa kutamkwa na wapendwa wangu ni haya hapa chini.

  • Simba wanaongoza kwa position badala ya possession by mwalimu mwenye degree tukiwa tunaangalia Mpira sehemu Fulani.
  • Oksaid badala ya offside.
  • Manogamech badala ya man of the match.
  • Real magrid badala ya real Madrid.
  • Sai toto badala ya fei toto.
Japokuwa Mimi siyo mjuzi wa mambo mengi lakini nikiwa sina uhakika na ninachotaka kusema basi naahirisha

Haya hebu ongeza kama kweli unakoishi watu wanafanya makosa kama haya.
 
Binafsi huaga naangalia mantiki ya mzungumzaji na sio usahihi wa namna anavyo zungumza. Kwenye mazungumzo yetu sipachukulii kama tupo shuleni tukijiandaa na mitihani, mazungumzo ya mpira, siasa ni mambo ya furaha, huzuni nk so mantiki ya mzungumzaji kwangu ndio muhimu, sio usahihi wa lugha; we are not at school here
 
Binafsi huaga naangalia mantiki ya mzungumzaji na sio usahihi wa namna anavyo zungumza. Kwenye mazungumzo yetu sipachukulii kama tupo shuleni tukijiandaa na mitihani, mazungumzo ya mpira, siasa ni mambo ya furaha, huzuni nk so mantiki ya mzungumzaji kwangu ndio muhimu, sio usahihi wa lugha; we are not at school here
Ipo siku mtu ataligeuza jina lako kuwa tusi ndipo utakumbuka ninachomaanisha.
 
Ipo siku mtu ataligeuza jina lako kuwa tusi ndipo utakumbuka ninachomaanisha.
Kama hakudhamilia hivo wala sioni shida. Haiwezi kugeuza maana yoyote kwangu. Kuna mmoja humu, alikomalia kuniita dada, mara mama; hata baada ya kumuelewesha kwamba mimi ni mwanaume mtu mzima lakini alikomalia hilo, well huyu alidhamilia; but nikajiuliza, hivi akinigeuza kwa maneno jinsia yangu kuna kitu kibadirika kwangu? No, then why worry? So nilimdharau but hata siku mind. Kwanini u panic na vitu vidogo?
 
Kama hakudhamilia hivo wala sioni shida. Haiwezi kugeuza maana yoyote kwangu. Kuna mmoja humu, alikomalia kuniita dada, mara mama; hata baada ya kumuelewesha kwamba mimi ni mwanaume mtu mzima lakini alikomalia hilo, well huyu alidhamilia; but nikajiuliza, hivi akinigeuza kwa maneno jinsia yangu kuna kitu kibadirika kwangu? No, then why worry? So nilimdharau but hata siku mind. Kwanini u panic na vitu vidogo?
Kama aneyekosea yuko humble sina shida naye ila wale wajuaji wanapofanya makosa kama haya duh!
 
Kuna mmoja alisema fofofisho badala ya fourth official yaani mwamuzi wa akiba. Aliyesema hivyo alikuwa mtangazaji maarufu nchini, kama mnamjua mumtaje.
 
Kutamka jina la timu ya mpira ya Uholanzi inayoitwa AJAX.Watangazaji wengi wanasema kama lililvyoandikwa.Linatamkwa AYAX.
Mchezaji maarufu Zlatan Ibrahimovic linatamkwa Slatan Ibrahimovich na sio Zlatan Ibrahimovic.
 
Back
Top Bottom