BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Toxoplasmosis balada ya?Watumwa ni hao wanaojaribu kutamkwa mwishowe wanakuwa vibinzo eti REAL MAGRID
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toxoplasmosis balada ya?Watumwa ni hao wanaojaribu kutamkwa mwishowe wanakuwa vibinzo eti REAL MAGRID
Ohooo watu wana mambo ya ajabu sana mkuu😅 mtu anashupaa kabisa anakwambia " oFsaidi"Eti clean shit
Papaa mudende unaendeleaje jeshi ?Anyways.....
Ebu ngoja niendelee kusoma comments kwanza
Safi sana hakuna haja ya kutaharuki. Yeye aliona anakutukana halafu wewe hukulipa hata uzito tusi lakeKama hakudhamilia hivo wala sioni shida. Haiwezi kugeuza maana yoyote kwangu. Kuna mmoja humu, alikomalia kuniita dada, mara mama; hata baada ya kumuelewesha kwamba mimi ni mwanaume mtu mzima lakini alikomalia hilo, well huyu alidhamilia; but nikajiuliza, hivi akinigeuza kwa maneno jinsia yangu kuna kitu kibadirika kwangu? No, then why worry? So nilimdharau but hata siku mind. Kwanini u panic na vitu vidogo?
Naendelea poa sana papaa yamukuluPapaa mudende unaendeleaje jeshi ?
Hapo sawa , basi dua zangu kumbe mshikaji anazisikiaNaendelea poa sana papaa yamukulu
'Propesa' lipumba badala ya Profesa.
Muuza matikiti mmoja kule Lindi, 'kula tikiti maji, water memory!'
Nyafasi badala ya nafasi (hili kutoka kwa msomi wa udsm)
Romance badala ya rumours (hii nimeisikia mara kadhaa kutoka kwa sister duu mmoja hivi)
[/QUOTE
Hahahaha
Mwaka 2016 mtanashati mmoja aliwahi kusema rais Dkt kufuli badala ya magufuli, mwingine alisema Emanuel Oking badala ya okwi. Ping kiba badala ya king kiba.'Propesa' lipumba badala ya Profesa.
Muuza matikiti mmoja kule Lindi, 'kula tikiti maji, water memory!'
Nyafasi badala ya nafasi (hili kutoka kwa msomi wa udsm)
Romance badala ya rumours (hii nimeisikia mara kadhaa kutoka kwa sister duu mmoja hivi)
'Propesa' lipumba badala ya Profesa.'Propesa' lipumba badala ya Profesa.
Muuza matikiti mmoja kule Lindi, 'kula tikiti maji, water memory!'
Nyafasi badala ya nafasi (hili kutoka kwa msomi wa udsm)
Romance badala ya rumours (hii nimeisikia mara kadhaa kutoka kwa sister duu mmoja hivi)
Mtoto mmoja wa drs la sabu alipigwa na mama yake almanusura afe badala ya kumwambia mama yake nataka hela ya 'penis' badala ya penDalali anatafuta Pament, eti ndio apartment
Bora hata hao wanao kosea kutamka maneno kuliko huyu jamaa aliyeheshimika mtaani kwetu hadi watu wakawa wanamlazimisha akagombee udiwani katika kata yetu kwa kudhani kuwa ana uelewa mkubwa wa mambo. Siku moja aliniacha mdomo wazi baada ya kumwuliza mama mmoja 'HIVI REDIO MARIA INAUZWA BEI GANI'. Huyo mama alikuwa anapenda kusikiliza radio Maria mgahawani kwake na nyimbo za kikatoliki zilikuwa zikipigwa sana mchana na huyo jamaa aliyeuliza hivyo ana cheo cha uenyekiti wa parokia.Je, ni neno gani la kiingereza, Kiswahili au jina la mtu ambalo mtu wako wa karibu au mtu yeyote unayemfahamu aliwahi kutamka kimakosa mpaka ukaona aibu kwa niaba yake,
Ukamshusha hadhi uliyokuwa unampa au ukamhurumia.
Binafsi nimekuwa nikitana na watu tofauti tofauti wasomi na wasio wasomi ambao wanatamka maneno ya lugha tofautitofauti hasa ya kiingereza isivyotakiwa.
Japokuwa Mimi siyo mjuzi wa mambo mengi lakini nikiwa sina uhakika na ninachotaka kusema basi naahirisha Kwanza ili nisiwe kituko. Baadhi ya maneno hayo yaliyokosewa kutamkwa na wapendwa wangu ni haya hapa chini.
Japokuwa Mimi siyo mjuzi wa mambo mengi lakini nikiwa sina uhakika na ninachotaka kusema basi naahirisha
- Simba wanaongoza kwa position badala ya possession by mwalimu mwenye degree tukiwa tunaangalia Mpira sehemu Fulani.
- Oksaid badala ya offside.
- Manogamech badala ya man of the match.
- Real magrid badala ya real Madrid.
- Sai toto badala ya fei toto.
Haya hebu ongeza kama kweli unakoishi watu wanafanya makosa kama haya.
Jaribu kuangalia aina ya watu unaojamiiana nao. Mimi nimekutana na watu wana makosa mengi lakini sijawahi sikia mtu anasema oksaidi na magrid.Je, ni neno gani la kiingereza, Kiswahili au jina la mtu ambalo mtu wako wa karibu au mtu yeyote unayemfahamu aliwahi kutamka kimakosa mpaka ukaona aibu kwa niaba yake,
Ukamshusha hadhi uliyokuwa unampa au ukamhurumia.
Binafsi nimekuwa nikitana na watu tofauti tofauti wasomi na wasio wasomi ambao wanatamka maneno ya lugha tofautitofauti hasa ya kiingereza isivyotakiwa.
Japokuwa Mimi siyo mjuzi wa mambo mengi lakini nikiwa sina uhakika na ninachotaka kusema basi naahirisha Kwanza ili nisiwe kituko. Baadhi ya maneno hayo yaliyokosewa kutamkwa na wapendwa wangu ni haya hapa chini.
Japokuwa Mimi siyo mjuzi wa mambo mengi lakini nikiwa sina uhakika na ninachotaka kusema basi naahirisha
- Simba wanaongoza kwa position badala ya possession by mwalimu mwenye degree tukiwa tunaangalia Mpira sehemu Fulani.
- Oksaid badala ya offside.
- Manogamech badala ya man of the match.
- Real magrid badala ya real Madrid.
- Sai toto badala ya fei toto.
Haya hebu ongeza kama kweli unakoishi watu wanafanya makosa kama haya.
It was a mere slipping of the tongue.And,I know you could have coughed,the lungs!Nilikuwa nanogesha kampeni tu.Sikumaanisha hilo.😂😂😂😂Bora hata hao wanao kosea kutamka maneno kuliko huyu jamaa aliyeheshimika mtaani kwetu hadi watu wakawa wanamlazimisha akagombee udiwani katika kata yetu kwa kudhani kuwa ana uelewa mkubwa wa mambo. Siku moja aliniacha mdomo wazi baada ya kumwuliza mama mmoja 'HIVI REDIO MARIA INAUZWA BEI GANI'. Huyo mama alikuwa anapenda kusikiliza radio Maria mgahawani kwake na nyimbo za kikatoliki zilikuwa zikipigwa sana mchana na huyo jamaa aliyeuliza hivyo ana cheo cha uenyekiti wa parokia.
Nilipigwa na butwaa.
Huyo hana tofauti na Yule aliyeanini kuwa yanga kwa jina jingine ni chui kwa sababu ni mahasimu wa simba.Bora hata hao wanao kosea kutamka maneno kuliko huyu jamaa aliyeheshimika mtaani kwetu hadi watu wakawa wanamlazimisha akagombee udiwani katika kata yetu kwa kudhani kuwa ana uelewa mkubwa wa mambo. Siku moja aliniacha mdomo wazi baada ya kumwuliza mama mmoja 'HIVI REDIO MARIA INAUZWA BEI GANI'. Huyo mama alikuwa anapenda kusikiliza radio Maria mgahawani kwake na nyimbo za kikatoliki zilikuwa zikipigwa sana mchana na huyo jamaa aliyeuliza hivyo ana cheo cha uenyekiti wa parokia.
Nilipigwa na butwaa.