Je, umesikia habari za Uhakiki wa Leseni na Cheti Uliposomea Driving kwa Madereva ?

Je, umesikia habari za Uhakiki wa Leseni na Cheti Uliposomea Driving kwa Madereva ?

Wanakupa barua ambayo chini inakua na muhuri hakuna kitu cha maana mkuu ni kupotezeana muda tuu maana hata wasiokua na vyeti hao hao ndio waliwapa Leseni tena hao hao ndio watakaowapa vyeti...

Hahaaaaa ni upigaji tu kwakeli

Nmeona CAG kasema kumbe hata zile hela za sticker karibu 400+m zimepigwa

Maana tulikuwa tunalipa cash hakuna control # wala nini

Cha kushangaza zile sticker za nenda kwa usalama hakuna system yeyote utahakiki kama ilivo bima[emoji850]
 
Hahaaaaa ni upigaji tu kwakeli

Nmeona CAG kasema kumbe hata zile hela za sticker karibu 400+m zimepigwa

Maana tulikuwa tunalipa cash hakuna control # wala nini

Cha kushangaza zile sticker za nenda kwa usalama hakuna system yeyote utahakiki kama ilivo bima[emoji850]
Mpaka sasa hivi wanakusanya wameweka matent nje ni wizi tuu Sticker inazuia Ajali yaani gari ina makolokolo mengi utadhani ni kitu cha maana sana...katika vitu najua tunaibiwa ni Stika harafu nayo ina Fine kabisa...
 
Yaani nisome driving miaka zaidi ya 40 imeshapita najiendeshea kwa class D unaniuliza cheti Leo? Wawaulizeni vijana Sisi wazee tuachwe. Labda wanataka hizo class C
D huhitaji kuwa na cheti . Ukaguzi wa vyeti ni C na E
 
Vyeti ni kwa leseni daraja C na E pekee kwa sasa halafu na hiyo ya ku-renew kila leseni uende na cheti ni porojo.
kila nikirenew huwa wananidai cheti ni kitu kipo tokea mda ila ndio hivyo mtu anapitisha hela kidogo anapewa leseni mpya.. labda kama watakomaa safari hii
 
Back
Top Bottom