Je, umetimiza malengo yako ndani ya mwaka huu? Kipi umejifunza?

Je, umetimiza malengo yako ndani ya mwaka huu? Kipi umejifunza?

Mimi namshukuru Mungu nimetimiza almost 90% ya malengo yagu ya mwaka huu. Isingekuwa mambo fulani fulani huenda ningetimiza 200% kabisa.
Nimejifunza kuwa ukiweka malengo usiende nje nayo iwe mvua au jua. Na pia usifuate sana watu wanafanya na wanasema nini maana miruzi mingi humchanganya mbwa.
Aise yaani wewe umeongea pointi sana na watu wengi wanafeli hivyo hivyo kwa kusikiliza manno ya watu na kwenda nje ya malengo.
 
Sijayatimiza yote haya malengo navuka nayo mwaka

Nimejifunza Mungu ni mwema kila wakati
 
Back
Top Bottom