Mimi namshukuru Mungu nimetimiza almost 90% ya malengo yagu ya mwaka huu. Isingekuwa mambo fulani fulani huenda ningetimiza 200% kabisa.
Nimejifunza kuwa ukiweka malengo usiende nje nayo iwe mvua au jua. Na pia usifuate sana watu wanafanya na wanasema nini maana miruzi mingi humchanganya mbwa.