Je, umewahi kughairi mechi ya kula/ kuliwa tunda? Ilikuwaje?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ustadhat hijabu Mtoto shombe

Nilimfukuzia kinoma huyu ustadhat Kama miaka mi wili hivi ni ustadhat swala 5.MUNGU si athumani ikaja akajaa nimfate mbagala.nikamfata nikamuona anasindikizwa na washkaji wawili ila poa tu sikujali...
Mweeeeh[emoji16][emoji16]
 
Siwezi kusema eti niliuchomeka, la hasha, niliuloweka mkuyenge kwenye ziwa victoria. Ile kuona hakuna kuta, nikaamka chap na kuvaa suruali langu na kukimbia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nakumbuka kipindi hicho Niko Mwaka wa Mwisho Chuo,Sasa Kuna Demu Ameanza Mwaka wa kwanza Basi nikamtokea Demu, baada ya Muda Yule Demu Akakubali Nikawa Niko Naye kwenye Mahusiano. Demu Akatokea kunipenda kweli yaaani, Nakati Mimi Sikuwa Na Mapenzi ya dhat kwake nilitaka nipige nisepe.

yule Demu Alikuwa Bikra hajawahi Kabisa kufanya Mapenzi, nakumbuka Alikuwa Na Aibu Sana Aisee Ata Tukiwa wote Mtoto Ukimshika Kiuno Mtoto Anatetemeka Balaa, nikawa Na fosi game, Akawa Anakataa Anasema Mpaka nimuoe, Siku Na Hiyo Mtoto Akaja geto Nikajua Mtoto Anataka Mashine, Demu Akawa tayari kunipa k,ila Akaanza kunipa lecture Kama leo nimeamua kukupa Bikra yangu,

Nimejitunza kwa miaka Mingi nikitegemea Mwanaume Wangu wa Kwanza Ndiyo Awe mume Wangu kwa Sababu Ananipenda Akasema yupo tayari kunipa ila Nikija kumuacha Au kumsaliti Basi Atajiua,na Ataandika barua ya kwamba Mimi ndiyo Chanzo Cha yeye kujiua,

Aisee Sikuwa Na Ujasiri Tena wakufanya Mapenzi Naye Dem Anaongea Hapo Huku Anatoa Chozi,nikakaa kwenye bed nikawa najifikiria.Bahati nzuri Mother Ananipigia Simu nikawa Naongea Naye, ikabidi nitumie ile Simu niliyopigiwa kumwambia bi Mkubwa Anaumwa Ameniomba nimpeleke hospital, Mwisho wa Siku nikawa nampotezea Kidogo dogo Mpaka tukaachana mazima.
 
Baada ya kufuatilia uzi wa kula tunda kimasihara hapa kwa muda mrefu, nimejikuta nikikumbuka matokeo hasi ya huu umasihara. Moja ni kupewa tunda alafu kwa sababu kadha wa kadha unajikuta unahairisha ama kugahiri kula tunda...
glitoris ndio nini?
 
Unapate hasara kiboya wewe, chafua hiyo room.
Mimi kuna rafiki yangu nilimuomba room yeye alijiona mjanja akasema we leta hela nakuachia room mpaka asubuhi kweli nikampa hela ila kesho yake alichokikuta chumbani kwake aliniona mtu wa ajabu sana
Mambo ya hovyo sana haya uliyoyaandika hapa hadi aibu naona mimi.
 
Nakumbuka kipindi hicho Niko Mwaka wa Mwisho Chuo,Sasa Kuna Demu Ameanza Mwaka wa kwanza Basi nikamtokea Demu, baada ya Muda Yule Demu Akakubali...
Wewe muhuni sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Ukute katolewa bikra na mimba juu na mwamba kapita [emoji2088]
 
Siwezi kusema eti niliuchomeka, la hasha, niliuloweka mkuyenge kwenye ziwa victoria. Ile kuona hakuna kuta, nikaamka chap na kuvaa suruali langu na kukimbia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we jamaa
 
"Hata hivyo huyu binti alikuja kuolewa na sasa ana watoto. Wanaume watu hatari sana!!"

Dah ndio ubaya wa kuoa mtu ambae kuna mtu mwngine alilala nae. Full imagination
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…