Je, umewahi kupasukiwa Kondom wakati wa show?

Je, umewahi kupasukiwa Kondom wakati wa show?

"Na Ndio Maana Benchika ameenda likizo ya siku 5 Kwa kuwa Watz wengi wetu ni Werevu mnoo"
 
...imewahi kunitokea mara 2, nitaelezea moja.

Weekend moja kuna binti nilikua namfukuzia tangu mwaka jana. Sasa akawa kakubali tukafanye ila akasisitiza nibebe zana. Wasiwasi ukanibip ila ile mihamu ndo inatuuaga mameeen.

Tumefika room zile foreplays zinaendelea akanisisitiza nitoe ndom. Nikamwambia sina. Akasema basi nitoe vipimo tupime...nikamwambia sina. Akasema hapa No show....macho yamemtoka. Nikalazimisha, wapiiii...

Basi nikatoa pakti ya ndom nikaanza kuvaa. Akanivisha yeye ikagoma, ikabidi niilazimishe mpk ikanienea ivo ivo....nikazamisha!

In the process bana, nikahisi kuna kafeeling flan ka peku plus kuloa! Nilivyochungulia nikakuta kitu kimechanika, kinapanda juu ka chupi za Vipi (enzi zetuuu), sikupaniki, niliendelea kupump mpk nikajojo!

Ye mwnyw alitulia ila nilipoichomoa akasema nimemloanisha...fasta akaenda kunawa!

Baada ya tukio ndo akaja kunipa mastori ya Mazombizombi asee nilijuta!...ila tulirudia tena 2nd round ila niliforce ndom tena na haikupasuka!

Few days tulipima wote tukakuta tuko poa, nimerudia tena alone nipo ok!

Guys tuwe makini....kama hauogopi ngoma njoo CDCI....clinic za UKIMWI au wards za waathirika utapata somo kavu!


Vipi, wewe ikichanika unachukua hatua gani?
Mkuu
 
Back
Top Bottom