Je, Umewahi kusumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ukapona? Njoo tuambie hapa

Je, Umewahi kusumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ukapona? Njoo tuambie hapa

Sasa wasionamvuto wataenda wapi mkuu?
....mvuto uko subjective mkuu, asiye na mvuto kwako kwangu anavutia. so kimsingi kila mwanamke hana mvuto na kila mwanamke ana mvuto. ceteris peribus....
 
hii tatizo linatibika jaman tena kwa matunda tembelea instragram nguvu za kiume kwa matunda
 
Tatizo la kupotea kwa nguvu za kiume linachochewa na mambo mengi ila kubwa zaidi ni la kisaikolojia hasa msongo wa mawazo na kutokujiamini!
Mengine ni kama ulaji wa mihadarati kama mirungi na pombe kupita kiasi.mirungi naweza kuiweka katika kundi la kuchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza au kuondoa kabisa nguvu.
Kingine mazoea yani kila siku na mwenzi wako hamna ubunifu mpya ikiwemo usafi na mambo muhimu ya kuzingatia ambayo wengi hawayaelewi yaani maandalizi.maandalizi sio eti ukifika kitandani ndo muanze kuaandaana la hasha maandalizi yaanzie mbali hata mke akiwa nyumbani we uko kazini mnapeana mzuka nakuhakikishia dushe itasimama kuanzia ubungo hadi mbezi mwisho
 
In addition-dawa za kubust sex drive zinakupa wewe ralaxation na kukupatia kujiamini ili hali jambo hilo unaweza kufanya bila kujibust na dawa.saikoloji ukicheza nayo ina nguvu kubwa kuliko dawa.
 
Mimi nilikuwa na tatizo la kuwahi nikatumia hiyo wanaita congo dust.ila ndo hvyo inabidi upake kira mara
Congo dust niliwahi kuifanyia test kwa mwajuma(mambo ya kuiga) ,mbina nilijuta nimetoa macho karibia 90 minutes wazungu naona hawan hata mpango kuja.. -hao ni wadhamini

Narudi kwenye Mada husika.
Cha msingi ondoeni mawazo, kuleni vizur na pia inatakwa ujiamin na ili ujiamin zaidi ni vema ukamshirikisha mwenza wako...
Cjajua kuhusu dawa zake lakini nikifanikiwa kuwasiliana na wajuzi nitaweka dawa yake...
NB:usitumie dawa za one kick a.k.a jino moja au viagra na dawa zinazofanna na hizo msizitumie ndo zinazidisha usugu wa tatizo.. Nitarud tena nikitoka kazini
 
Congo dust niliwahi kuifanyia test kwa mwajuma(mambo ya kuiga) ,mbina nilijuta nimetoa macho karibia 90 minutes wazungu naona hawan hata mpango kuja.. -hao ni wadhamini

Narudi kwenye Mada husika.
Cha msingi ondoeni mawazo, kuleni vizur na pia inatakwa ujiamin na ili ujiamin zaidi ni vema ukamshirikisha mwenza wako...
Cjajua kuhusu dawa zake lakini nikifanikiwa kuwasiliana na wajuzi nitaweka dawa yake...
NB:usitumie dawa za one kick a.k.a jino moja au viagra na dawa zinazofanna na hizo msizitumie ndo zinazidisha usugu wa tatizo.. Nitarud tena nikitoka kazini
Tafadhali njoo utupe hyo dawa,, mm binafsi mpaka sasa nmetapeliwa km laki 3.8 hv , had nmekata tamaa, ndo maana nkaamua kuanzisha huu Uzi nijue mlifanikiwaje kusolve tatizo
 
Umri unavyokwenda vitu vingi unapoteza ufanisi wa vitu fulani fulani mwilini na mojawapo ya vitu hivyo mara nyingi ni sex drive, sasa husitegemee jinsi ulivyokuwa teenager au twenties basi ukifika 35 au 40 uwe hivyo hivyo, hiyo itakuwa ndoto na utakula miti shamba na madawa ya kichina ya kila aina na supu za pweza mpaka waishe baharini lakini huwezi reverse clock.
Kubali yaishe
 
Umri unavyokwenda vitu vingi unapoteza ufanisi wa vitu fulani fulani mwilini na mojawapo ya vitu hivyo mara nyingi ni sex drive, sasa husitegemee jinsi ulivyokuwa teenager au twenties basi ukifika 35 au 40 uwe hivyo hivyo, hiyo itakuwa ndoto na utakula miti shamba na madawa ya kichina ya kila aina na supu za pweza mpaka waishe baharini lakini huwezi reverse clock.
Kubali yaishe
mm miaka 23 tu ntakubalije yaishe?
 
Umri unavyokwenda vitu vingi unapoteza ufanisi wa vitu fulani fulani mwilini na mojawapo ya vitu hivyo mara nyingi ni sex drive, sasa husitegemee jinsi ulivyokuwa teenager au twenties basi ukifika 35 au 40 uwe hivyo hivyo, hiyo itakuwa ndoto na utakula miti shamba na madawa ya kichina ya kila aina na supu za pweza mpaka waishe baharini lakini huwezi reverse clock.
Kubali yaishe
mm miaka 23 tu ntakubalije yaishe?
 
Mbegu za maboga, zikaushe halafu kaanga kidogo bila mafuta. Tafuna 10 asubuhi, 10 jioni kwa siku 7 tu.

Juice ya tende nayo inaboresha nguvu za kiume na unaweza changanya na maziwa fresh. Piga glass zako 2 Kwa siku maisha yanakua mazuri kabisa.
 
Mbegu za maboga, zikaushe halafu kaanga kidogo bila mafuta. Tafuna 10 asubuhi, 10 jioni kwa siku 7 tu.

Juice ya tende nayo inaboresha nguvu za kiume na unaweza changanya na maziwa fresh. Piga glass zako 2 Kwa siku maisha yanakua mazuri kabisa.
Hii ipo poa
 
Mimi nilikua Na tatizo la kuwahi sana kumaliza mchezo ndani ya dakika tatu tu hoi katika kutafuta ufumbuzi niligundua njia moja iliyonisaidia sana ni mazoezi simple sana nafanya Mara mbili kwa siku asubuhi Na kabla ya kulala mazoezi yenyewe ni ninalala chini nalalia mgongo then nanyanyua miguu na kuirudisha chini Mara nyingi niwezavyo. Mazoezi aya yamenisaidia sana napiga show ya kueleweka Na nina uwezo wa kuunganisha mechi bila kupumzika baada ya wazungu kufika
 
Mimi nilikua Na tatizo la kuwahi sana kumaliza mchezo ndani ya dakika tatu tu hoi katika kutafuta ufumbuzi niligundua njia moja iliyonisaidia sana ni mazoezi simple sana nafanya Mara mbili kwa siku asubuhi Na kabla ya kulala mazoezi yenyewe ni ninalala chini nalalia mgongo then nanyanyua miguu na kuirudisha chini Mara nyingi niwezavyo. Mazoezi aya yamenisaidia sana napiga show ya kueleweka Na nina uwezo wa kuunganisha mechi bila kupumzika baada ya wazungu kufika
hebu nikujaribu
 
Back
Top Bottom