Je, Umewahi kusumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ukapona? Njoo tuambie hapa

Je, Umewahi kusumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ukapona? Njoo tuambie hapa

Mimi nilikua Na tatizo la kuwahi sana kumaliza mchezo ndani ya dakika tatu tu hoi katika kutafuta ufumbuzi niligundua njia moja iliyonisaidia sana ni mazoezi simple sana nafanya Mara mbili kwa siku asubuhi Na kabla ya kulala mazoezi yenyewe ni ninalala chini nalalia mgongo then nanyanyua miguu na kuirudisha chini Mara nyingi niwezavyo. Mazoezi aya yamenisaidia sana napiga show ya kueleweka Na nina uwezo wa kuunganisha mechi bila kupumzika baada ya wazungu kufika
unanyanyua km Mara ngap (maximum)?
 
Mbegu za maboga, zikaushe halafu kaanga kidogo bila mafuta. Tafuna 10 asubuhi, 10 jioni kwa siku 7 tu.

Juice ya tende nayo inaboresha nguvu za kiume na unaweza changanya na maziwa fresh. Piga glass zako 2 Kwa siku maisha yanakua mazuri kabisa.
I like it, narud kwa bibi kjjn yanakopatkana maboga naweka kamb ya siku 10 tu then narud town kuendeleza game
 
Hii ishu ni pana.
Engo moja ya msingi ninayoitizama ni pilau au picha za uchi.
Pilau na picha za uchi zina overstimulate brain na kufanya kitu kinachoitwa dopimine kuzalishwa kwa wingi sana, hii dopimine kiswahili rahisi ni sawa na kusikia kiu ambapo ukinywa maji inakata. Sababu overstimulation imefanyika kwenye picha za x x x brain inakuwa rewired na kuuambia u ume wako usisimame mpaka utakapo ona kitu sawa na kile cha kwenye x x x.
Sababu vitu vya kwenye x x x ni adimu na siyo realistik na katu hiwezi kuvipata kwa mwanamke halisi jamaa naye hawezi kusimama sababu matawi yake ni ya juu ya kwwenye x x x
solution ni kuachana na ishu za x x x .
ISHU HII IMEELEZWA KWA KINA KWENYE BLOGI INAYO KWENDA KWA JINA LA SALIMMSANGI ICHEKI UKIWA NA MUDA THEN UTANIAMBAIA.

Hakuna kitu kwenye mwili kinaitwa Dopimine
 
Tatizo linatokana na vijana wengi kuwa na stress sana zakimaisha wengi wao husababishwa na mapenzii kuwa na wapenzi wengi kufanya ngono mara nyingi pia hupunguza nguvu zakiume kuwa addicted na kiangalia video na picture zautupu kupelekea kujichachua napia kula vyakula vile vyenye ma chemical kwa wingi yaani unakuta mtu kila day anakula mayai yakizungu au kuku wakizungu waliopatiwa madawa yakuwakuza haraka kula vyakula vyenye mafuta mengi kutofanya mazoezii mimwenyewe nimuhanga wahivi vitu na ninahitaji msaada nisaidieni ili niondekane nahaya matatizo nisipo saidiwa kimawazo au ushauri nitapoteza imani na naweza nisioe au kuwa na mchumba kwasababu ni aibu kubwa kutowajibika pale kitandana kwahio mawazo na ushauri yanahitajika No blame comments thoe
 


ni suluhisho kwa uume legelege,kushindwa kurudia tendo ,kukosa hamu,kuwai kumaliza tendo.
whats app njoo ushuudie shuuda0712505049
natoa formula ya kuacha kujichua bureeeeee
 
Gar ishaa zima long tim kuwaka .mpaka isukumwe ikiwaka ukichelewa tu kuondoka inazima jumla.nahis pesa ndio chanzo
 
Mimi nilikua Na tatizo la kuwahi sana kumaliza mchezo ndani ya dakika tatu tu hoi katika kutafuta ufumbuzi niligundua njia moja iliyonisaidia sana ni mazoezi simple sana nafanya Mara mbili kwa siku asubuhi Na kabla ya kulala mazoezi yenyewe ni ninalala chini nalalia mgongo then nanyanyua miguu na kuirudisha chini Mara nyingi niwezavyo. Mazoezi aya yamenisaidia sana napiga show ya kueleweka Na nina uwezo wa kuunganisha mechi bila kupumzika baada ya wazungu kufika

shukran nitaanza hilo zoezi, ntakapo kwama nitaomba ushauri wako please
 
Thanks God......... Asubuh huwa napig mchanganyiko wang wa tikikiti, karoti moja na ndiz moja then mchana tahakikisha napiga dona la ujazo lisilo na mboga za mafuta nyingi may b kisamaki kimekaushwa hapo na kamchicha kidogo afu maji nayokunywa toka asubuh si mchezo, then usiku piga hata kawali maharage ila kasikosekane kamchicha hata pemben afu nimejiwekea tabia daily day and night natafuna nyanda moja ya vitunguu saumu.......... Afu Sina stress tatizo la watu wanawaza mbele ya tukio sijui nikifika hivi itakua vile mzee everything come at a right time so acha kukomplain fanya hvyo afu utanijuza,,,,,,,, Angalizo usiondeka nyumbn kwenda hom Kam hujapig hata vi push up vyako hata 50 wakuu maish rahis sana haya ila watu tunavyoyachukulia fu
 
Kuna anayejua dawa za KUPUNGUZA nguvu za kiume? (very serious nahitaji kujua)
Natanguliza shukran.
 
Mimi sikuwahi kiwa na shida ya nguvu za kiume. Wiki iliyopita mke wangu alisafiri kwa muda wa wiki nzima. Baada ya yeye kusafiri siku ile ile nikaanzisha utaratibu wa kila siku jioni kufanya zoezi la kukimbia umbali mrefu. Amerudi jana nimeshindwa ku perform kabisa! Yani nimetumia muda mwingi kumuandaa lkn muda wote huo gegedo langu lilikua limenywea na hata liliposimama halikukakamaa vzr kiasi sikuweza kuingiza. Je, shida ni nini hasa? Ni mwili umechoka na lile zoezi au ni nini?
 
kwa hio ili upige mchenyenje inabidi unywe hio dawa??
Ni yakupaka.
Ukipaka Leo inafanyakazi mpaka kesho yake.
Hii iko zaidi kwa kumridhisha mwanamke maana inapunguza sensitivity na kufanya usugue hata masaa mawili bila kukojoa.
Vile vile unakuwa tegemezi kwa sbabu haitibu tatizo
 
Back
Top Bottom