Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nitajenga tu kijumba kidogo nipangishe
Kwanini sio chakuishi madamMi nitajenga tu kijumba kidogo nipangishe
Material ulikuwa unapitisha wapi?Daaah nlinunua mwaka jsna 10mil nimejenga nikaja kugundua njia ya kufika ni changamoto
Nikweli ndugu,,Kawaida sana hiyo.Ndio maana unaona majengo mengi hayajamalizwa kujengwa.
Kuna huyo dalali namfahamu ni mshirikina kinoumer. Yaani akipewa kazi anaroga hadi mtu apatikane. Unanunua mali ambayo hata kuuza haiwezekani .Madalali wote ni wachawi wanakupumbaza unajikuta TU umenunua.
Ukitaka kununua uwañja au shamba tumia mtu mwingine akapumbazwe na dalali we ukiwa na akili timamu
BadoHabari mwanafamilia wa jukwaa la ujenzi,
Je, umewahi nunua kiwanja ukaanza na ujenzi kabisa alafu baadae ukagundua ulijichanganya kujenga hapo,,
Twambie ilikuaje [emoji848]
#Nimeitoa sehemu
Ni Kama niliponunua eneo silipendi tenaKwanini sio chakuishi madam
OkeeNi Kama niliponunua eneo silipendi tena
Sie tupo namanga na tunatamba. Kama shuhuli zako za mjini kati halafu kipato cha kuunga unga usikae huku utatesekaKitonga...ni porini sana uko, inatakiwa pawe pwani kule sio dar
Weee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] IlalaHata hivyo Kitonga ipo Wilaya ya Kisarawe, Pwani.
Huenda kuna Kitonga nyingi maana hata Iringa ipo.Weee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilala
na ukifika unaweza sema uko Kilwa ndani ndani hukoWeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilala
Sema saivi Kuna watu wengi uko, inaonekana patakuja kuwa town...maana asaivi tu pamechangamka kuliko kimarana ukifika unaweza sema uko Kilwa ndani ndani huko
Kitonga ya kwenda mbagala na chanika au kitonga gani mkuu unayozungumzia.Kitonga...ni porini sana uko, inatakiwa pawe pwani kule sio dar
Ya mbagala chanikaKitonga ya kwenda mbagala na chanika au kitonga gani mkuu unayozungumzia.
Unavyosema kitonga ni porini nikajua umehadithiwa kama umefika kitonga na unasema ni porini basi mkuu ww umekulia masaki we wakishua yaani ukiacha mbande ukitokea mbagala hakuna sehemu ambayo imechangamka na ni maarufu kushinda kitonga.Ya mbagala chanika
Hujafika huku sasa ,labda sio kitonga ya chamanzi mvutina ukifika unaweza sema uko Kilwa ndani ndani huko