Nima Imma JF-Expert Member Joined May 14, 2015 Posts 2,473 Reaction score 3,669 Feb 10, 2024 #41 pwilo said: Unavyosema kitonga ni porini nikajua umehadithiwa kama umefika kitonga na unasema ni porini basi mkuu ww umekulia masaki we wakishua yaani ukiacha mbande ukitokea mbagala hakuna sehemu ambayo imechangamka na ni maarufu kushinda kitonga. Click to expand... Yani angesema dondwe huko ningemwelewa ila labda alikuja huku miaka mingi sana nyuma
pwilo said: Unavyosema kitonga ni porini nikajua umehadithiwa kama umefika kitonga na unasema ni porini basi mkuu ww umekulia masaki we wakishua yaani ukiacha mbande ukitokea mbagala hakuna sehemu ambayo imechangamka na ni maarufu kushinda kitonga. Click to expand... Yani angesema dondwe huko ningemwelewa ila labda alikuja huku miaka mingi sana nyuma
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Feb 10, 2024 #42 Holly Star said: Daaah nlinunua mwaka jsna 10mil nimejenga nikaja kugundua njia ya kufika ni changamoto Click to expand... Na Unakuta Majirani Zako Nuksi
Holly Star said: Daaah nlinunua mwaka jsna 10mil nimejenga nikaja kugundua njia ya kufika ni changamoto Click to expand... Na Unakuta Majirani Zako Nuksi