Je, una lipi la kumuambia Kocha mpya wa Simba?

Je, una lipi la kumuambia Kocha mpya wa Simba?

Daaah...nyie ndo mnasababisha Manara aone sisi Yanga tuna Vinyesi kwenye nguo. Kumbe ni sababu ya watu wachache kama wewe mnakuwa na kinyesi kichwani.
Punguza makasiriko mkuu[emoji23][emoji23]

Unazani Ni sahihi kwa Zoran kujigamba ilhali anawachezaji wazee pale kwenye timu yetu ya simba
 
Ndugu kocha asifungue mabegi, tafsiri halisi ya alichokua akifanya uko Misri ataipata tarehe 13.
 
Ndugu kocha asifungue mabegi, tafsiri halisi ya alichokua akifanya uko Misri ataipata tarehe 13.
Kwamba anaweza timuliwa watakapochezea 4...0[emoji23][emoji23]
 
Yaan mashabiki wa Utopolo wameshaachana na Domolepe wao, wamehamia Ismailia kwa Lunyasi. Khaaaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hangaikeni na kambi ya mikwambe kibonde maji.

Byuti byuti.
 
Yaan mashabiki wa Utopolo wameshaachana na Domolepe wao, wamehamia Ismailia kwa Lunyasi. Khaaaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hangaikeni na kambi ya mikwambe kibonde maji.

Byuti byuti.
Hamna mkuu......mm ni mchambuzi wa soka and not shabiki
 
Tatizo lenu kuu ni huo MWIKO huko nyuma ndio maana mmetapakaa vinyesi kila shabiki mpaka viongozi wenu....asante Haji Manara + Wallace...
Acha makasiriko mkuu.....

Toa maoni tujenge soka letu
 
Back
Top Bottom