Je, unaamini katika kuwekeza? Nina wazo la biashara kuanzia 10/20m ( kuuza unlimited internet buku tu kwa siku mteja atatumia hata gb 500 yeye tu

Hili wazo wanaweza liiba wakalitekeleza wao
Yote yanawezekana mkuu ila njia ya kuendesha hilo wazo na changamoto ndio hufelishs wezi wengi wa Idea mimi sihofii mtu kuiba wazo kwakuwa njia ya utekelezaji lazima kwake iwe na ugumu zaidi tofauti namimi
 
Hili wazo wanaweza liiba wakalitekeleza wao
Keki ni kubwa mzee, kingine mfumo na execution ya idea lazima imchanganye mtu.

Mfano Mimi Nika pata wifi router za wale wafanyakazi (ma manager), hizi Zina endaga Hadi 100 mb, halafu Wao Waka pata 10mb,
Unaona difference hapo??
 
Katika Hesabu zako umeweka mambo ya Kodi na TCRA ? Hivi unadhani anayefanya na aliyeharibu hizi Bei ni Kampuni au Serikali kuingilia na Bei Elekezi ?

 
Kununua unlimited internet halafu ukaisambaza hata kwa mtaa ujue watakutia nyuma ya nondo. Unless uwe na vibali. Umesahau wale jamaa wamewakamata mwaka jana?
Walio kamatwa kwa kuagiza vifaa vya starlink?
 
Hili wazo wanaweza liiba wakalitekeleza wao
Hawawezi kwasababu hawatapata faida, faida nzuri wanaipata per subscription na siyo subscriber mmoja asambaze net kama njugu kwa wengine..
 
kwa kuandika nirahisi ingia sasa kitaani uone moto wake
 
Wazo zuri la biashara ni 20% ya uwekezaji, kupata mteja na kumhifadhi mteja ndio biashara...Anza kuwa na client base kabla ya biashara...haijalishi uwe unauza bando za mtu mwingine au vp then wape ofa waamie kwako. Ila kuweka pesa chini ndo wateja second utafail sana
 
Wazo zuri sana ila waminifu ndo shida
 
Wakuu, juzi kati hapa nilikuwa nawaza hii ishu
 
Sasa kuna changamoto nyingine utaishia nyuma ya nondo, hapo kumbuka unaharibu biashara za wakubwa!
Mm nafanya hii bizness in small scale Niko chuo na generate voucher natumia Mbps 50 nauza business iko profitable NI kaujuz kidg Tu unatoboa sema ukipatia location Sana target vyuon na mtaani kwenye masoko makubwa an sehem kuna mkusanyiko WA watu mtaj ukiwa na laki nane ah 9 unaweza Kuanzia but in small scale unakua unagenerate voucher unampangia mtu kwamba atumie GB moja au mb hata 2 au hata GB 20 ni wewe Tu changamoto kwenye hii biashara ni kuna MDA mtandao unasumbua Sana pia kuna MDA HACKERS wapo kama ukipata mtu alie soma python anawez kucrack na akakuharck vzr Tu sema had mtu afanye hivyo itachukua MDA afu pia unaweza kumuona na. Kublock kbs
 
yes nikweli kiongozi nipo kulifanyia kazi kwa hilo pia kwakuwa kila changamoto inasuluhisho
 
Nmeona kuna eneo hii huduma ipo, Ni karibu na chuo

Hivyo kafunga kwenye hostels za karibu zote,
 
Hii biashara nafanya na no one is scaning
 
Hii biashara naijua kwasababu mwenyew nakifanya oky ww unatumia WiFi management gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…