NyegereBOY
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 225
- 328
- Thread starter
-
- #61
Yote yanawezekana mkuu ila njia ya kuendesha hilo wazo na changamoto ndio hufelishs wezi wengi wa Idea mimi sihofii mtu kuiba wazo kwakuwa njia ya utekelezaji lazima kwake iwe na ugumu zaidi tofauti namimiHili wazo wanaweza liiba wakalitekeleza wao
Napenda akili kama hizi, if something is illegal then look for the loop hole on it ili uweze kujitetea/kupambana kisheria kama ukikamatwa.Yeah nime Kumbuka pia, wali kamatwa mzee.
Sema Kuna loop hole mahali.
hakuna linalo shindikana, it's just a matter of time tu mambo Yana setiwa.Napenda akili kama hizi, if something is illegal then look for the loop hole on it ili uweze kujitetea/kupambana kisheria kama ukikamatwa.
Keki ni kubwa mzee, kingine mfumo na execution ya idea lazima imchanganye mtu.Hili wazo wanaweza liiba wakalitekeleza wao
Walio kamatwa kwa kuagiza vifaa vya starlink?Kununua unlimited internet halafu ukaisambaza hata kwa mtaa ujue watakutia nyuma ya nondo. Unless uwe na vibali. Umesahau wale jamaa wamewakamata mwaka jana?
Hawawezi kwasababu hawatapata faida, faida nzuri wanaipata per subscription na siyo subscriber mmoja asambaze net kama njugu kwa wengine..Hili wazo wanaweza liiba wakalitekeleza wao
Wazo zuri sana ila waminifu ndo shidaHabari ya uzima wanajanvi?
Imani yangu nyote wazima wa afya na akili kwakuwa yupo alietuwezesha kupata nafasi hii mpaka sasa?
Tusichoshane sanaaa
Nina wazo la biashara ambalo linahusu usambazaji wa huduma ya internet isiokuwa na ukomo (Unlimited internet) kwa kutumia local network providers tulionao hapa nchini kama Tigo, Vodacom na wengineo
Kutokana na utandawazi na maendeleo ya kasi katika karne hii matumizi ya huduma za internet yamekuwa makubwa kadiri siku zinavoongezeka hivo kufanya uhitaji (DEMAND) wa huduma hii kuwa mkubwa zaidi ila kwa bahati mbaya kwa nchi zetu hasa barani africa miundombinu ya kupata huduma
hii sio rafiki sana
WAZO LANGU SASA
Kwasasa upatikanaji wa huduma ya UNLIMITED INTERNET sio kubwa sana hapa nchini na hata hiyo kidogo inayopatikana imekuwa ghali kidogo ukilinganisha na kipato cha wengi wetu mfano (20Mbps inauzwa kwa Tsh, 100,000/=) hapo ukiachana na gharama za installation ya miundombinu ili upate huduma katika eneo lako
Sasa basi kwa kuliona hili nikawaza kwanini tusiweze kusambaza huduma hii kwa wale ambao wataweza kulipia huduma hii kwa siku na wakapata walau huduma ya Unlimited internet ambayo inaweza kumsaidia kwa shuli ndogo ndogo za hapa na pale kama kuperuzi mitandaoni,ufanyaji biashara online na kuwasaidia kupunguza gharama kubwa za bando tulizonazo mtaani kutoka kwa local providers Mfano GB 1 kwasasa ni 2100 au GB 35 kwa mwezi ni 50,000 sasa ukiangalia mtu huyu anatumia gharama kubwa sana pengine zisiweze kukidhi mahitaji yake kwa mwezi mzima.
MKAKATI ULIOPO
Kununua Unlimited internet kwa local providers tulionao hapa nchini iwe fiber net au wireless net na kisha kuisambaza kwa watu ambao hawana uwezo wa kumiliki hiyo huduma na kuwawezesha kulipia hiyo huduma kwa siku MFANO kununua 20Mbps kwa local providers na kuiuza kwa watumiaji wa chini walau kwa 10 user per 20 mbps hii itasaidia kuokoa gharama za watu wengi Imagine unapata kutumia unlimited internet kwa buku tu siku nzima nyumbani kwako imekaa poa eeeeeh? Sasa hii ndio idea yenyewe
Kufanikisha haya yote nilikuja kugundua sio wazo pekee na idea inaeeza kutekeleza hili bali pia na mtaji hasa wa baadhi ya vifaa wezeshi unaweza kufanya hili jambo kutekelezeka kiurahisi kabisa
MUWEKEZAJI
Kwakuwa hii huduma inahitaji uwekezaji pia basi niliona ku share hili wazo kwa wewe ambae unamtaji na hujafahamu niwapi hasa ungeweza kuwekeza na kupata faida za uwekezaji wako, nikutoe shaka na nikukaribishe kuwekeza kwenye hili wazo kwakuwa mimi pia ninaufahamu mzuri wa hii huduma lakini pia ni muajiriwa ambae nahusika na usambazaji wa hii huduma ya Dedicated and shared Internet kutoka local providers hapa nchini
MCHANGANUO WA UWEKEZAJI KATIKA HUDUMA AU WAZO HILI
1. Kwanza kabisa lazima tuwe na mtaji wa kununua Unlimited package kutoka kwa local providers ambapo vifurushi vyao huuzwa kwa kuangalia kipimo cha speed ya internet kinachofahamika kama Mbps ( megabite per second )
Hichi kipimo ndio huwezesha kujua hitaji na kiwango cha uhitaji kulingana matumizi ambapo kama nilivoeleza hapo juu kwa local providers wengi 20Mbps kwa shared Internet huuzwa 100,000 na kuendelea
2. Vifaa wezeshi ambavyo vitaweza kuwapa huduma mtu mmoja mmoja baada ya kupata internet kutoka kwa local provider bahati nzuri hivi vifaa sio ghali sana kwa matumizi ya mtu mmoja mmoja japo kwa hapa Tanzania vifaa huuzwa kati ya 60,000 up to 90,000 per person
3.Masoko ya utoaji wa hii huduma, habari njema nikuwa masoko yapo mengi sana kiasi ya kwamba hii ni fursa pana yenye faida endelevu kuliko biashara nyingi mtaani unaweza kurudisha ghamaza za investment yako hata ya milioni 500 kwa muda wa miez 4 au 5 tu
NAMNA FAIDA ITAKAVOPATIKANA NA KUONA UWEZEKANO WA KURUDISHA GHARAMA ZA UWEKEZAJI WAKO KWA MUDA USIOZIDI MIEZI 5
Mchanganuo kwa yule mwenye mtaji wa 20Milioni tuone tunairudisha kwa muda upi.
Kama nilivyoeleza awali 20mbps huuzwa kwa 100,000 na pia 20mbs inauwezo wa kuhudumia hata watu 10 kwa matumizi ya internet ya kawaida ambayo ni unlimited kwahiyo nisawa na kusema
20mbps = 10 users (watumiaji )
400mbps = 200 users (watumiaji )
Naimani tunaelewana kidogo
20mbps = 100,000
400mbps = 2,000,000
1 user = 90,000 installation cost+ device
200 user = 18,000,000 device + installation cost
kwaiyo :
400mbps = 2,000,000
200 users = 18,000,000
TOTAL : 20,000,000 Capital
MCHANGANUO WA FAIDA
Kama mtumiaji mmoja utaamua kumchaji 1,000 kwa siku kupata huduma ya Unlimited internet inamaana kwa watumiaji 200 kwa siku utakusanya 200,000 na ukizidisha kwa siku 30 yaani mwezi utakusanya 6,000,000/=
Sasa 6,000,000 - 2,000,000 (gharama ya 400mbps kwa mwezi) = 4,000,000
Kwaiyo monthly unapata net profit ya 4,000,000/=
Ukiizidisha kwa miezi 5 yaani
4,000,000 × 5 = 20,000,000
Kwa lugha nyepesi miezi 5 inarudisha gharama za investment na kuanzia mwezi wa 6 nakuendelea unakula faida hata miaka 3 hata 10
Na hii miezi imefika sita kutokana na users device kwa hapa tanzania zinauzwa ghali ila kama utaagiza miezi ya kurudisha mtaji inafika 3
Kwa hizi details inatosha kwa yule mwenye nia ya uwekezaji
Hivo basi kama umtaji huo au zaidi ya huo nakukatibisha tuweze kufanya hii biashara na hata kabla ya kuwekeza hiyo pesa unaweza ukaanzajaribio kwa 1,000,000 ukaona malipo na inavyofanyiks kisha ukaingia kwenyr investment
Napatikana Dar es Salaam ila hii biashara inaweza kuekezwa popote tanzania kwenye eneo linalopatikana network ya 4G na hata 5G
Kwa mtu serious na unapatikana Dar es salaam tunaweza kuonana na ku discuss in more details na tukaona tunalifanikishaje hili
Pia kwa maswali nakaribisha mwenye swali kuhusiana na Idea hii
Mawasiliano : 0710020066 call & WhatsApp
Mm nafanya hii bizness in small scale Niko chuo na generate voucher natumia Mbps 50 nauza business iko profitable NI kaujuz kidg Tu unatoboa sema ukipatia location Sana target vyuon na mtaani kwenye masoko makubwa an sehem kuna mkusanyiko WA watu mtaj ukiwa na laki nane ah 9 unaweza Kuanzia but in small scale unakua unagenerate voucher unampangia mtu kwamba atumie GB moja au mb hata 2 au hata GB 20 ni wewe Tu changamoto kwenye hii biashara ni kuna MDA mtandao unasumbua Sana pia kuna MDA HACKERS wapo kama ukipata mtu alie soma python anawez kucrack na akakuharck vzr Tu sema had mtu afanye hivyo itachukua MDA afu pia unaweza kumuona na. Kublock kbsSasa kuna changamoto nyingine utaishia nyuma ya nondo, hapo kumbuka unaharibu biashara za wakubwa!
yes nikweli kiongozi nipo kulifanyia kazi kwa hilo pia kwakuwa kila changamoto inasuluhishoMm nafanya hii bizness in small scale Niko chuo na generate voucher natumia Mbps 50 nauza business iko profitable NI kaujuz kidg Tu unatoboa sema ukipatia location Sana target vyuon na mtaani kwenye masoko makubwa an sehem kuna mkusanyiko WA watu mtaj ukiwa na laki nane ah 9 unaweza Kuanzia but in small scale unakua unagenerate voucher unampangia mtu kwamba atumie GB moja au mb hata 2 au hata GB 20 ni wewe Tu changamoto kwenye hii biashara ni kuna MDA mtandao unasumbua Sana pia kuna MDA HACKERS wapo kama ukipata mtu alie soma python anawez kucrack na akakuharck vzr Tu sema had mtu afanye hivyo itachukua MDA afu pia unaweza kumuona na. Kublock kbs
Yeaa Fanya hivyo utakuja nishukuruNmeona kuna eneo hii huduma ipo, Ni karibu na chuo
Hivyo kafunga kwenye hostels za karibu zote,
Hii biashara nafanya na no one is scaningHii biashara kama huna namna ya kuzuia mtu unae Muuzia kusambaza kwa mwingine basi hakuna kitu hapa
Mfano nikiwa na laptop yangu naweza gawa Wireless nyumbani kwa familia au ofisini au mtaani kwa wadau kwa buku niliyolipia...!
Una wezaje kuboresha ulinzi wa huduma ili iwe kwa aliyelipia , yani atakayelipia ndiye atakaye hudumiwa
Hii biashara naijua kwasababu mwenyew nakifanya oky ww unatumia WiFi management ganiHabari ya uzima wanajanvi?
Imani yangu nyote wazima wa afya na akili kwakuwa yupo alietuwezesha kupata nafasi hii mpaka sasa?
Tusichoshane sanaaa
Nina wazo la biashara ambalo linahusu usambazaji wa huduma ya internet isiokuwa na ukomo (Unlimited internet) kwa kutumia local network providers tulionao hapa nchini kama Tigo, Vodacom na wengineo
Kutokana na utandawazi na maendeleo ya kasi katika karne hii matumizi ya huduma za internet yamekuwa makubwa kadiri siku zinavoongezeka hivo kufanya uhitaji (DEMAND) wa huduma hii kuwa mkubwa zaidi ila kwa bahati mbaya kwa nchi zetu hasa barani africa miundombinu ya kupata huduma
hii sio rafiki sana
WAZO LANGU SASA
Kwasasa upatikanaji wa huduma ya UNLIMITED INTERNET sio kubwa sana hapa nchini na hata hiyo kidogo inayopatikana imekuwa ghali kidogo ukilinganisha na kipato cha wengi wetu mfano (20Mbps inauzwa kwa Tsh, 100,000/=) hapo ukiachana na gharama za installation ya miundombinu ili upate huduma katika eneo lako
Sasa basi kwa kuliona hili nikawaza kwanini tusiweze kusambaza huduma hii kwa wale ambao wataweza kulipia huduma hii kwa siku na wakapata walau huduma ya Unlimited internet ambayo inaweza kumsaidia kwa shuli ndogo ndogo za hapa na pale kama kuperuzi mitandaoni,ufanyaji biashara online na kuwasaidia kupunguza gharama kubwa za bando tulizonazo mtaani kutoka kwa local providers Mfano GB 1 kwasasa ni 2100 au GB 35 kwa mwezi ni 50,000 sasa ukiangalia mtu huyu anatumia gharama kubwa sana pengine zisiweze kukidhi mahitaji yake kwa mwezi mzima.
MKAKATI ULIOPO
Kununua Unlimited internet kwa local providers tulionao hapa nchini iwe fiber net au wireless net na kisha kuisambaza kwa watu ambao hawana uwezo wa kumiliki hiyo huduma na kuwawezesha kulipia hiyo huduma kwa siku MFANO kununua 20Mbps kwa local providers na kuiuza kwa watumiaji wa chini walau kwa 10 user per 20 mbps hii itasaidia kuokoa gharama za watu wengi Imagine unapata kutumia unlimited internet kwa buku tu siku nzima nyumbani kwako imekaa poa eeeeeh? Sasa hii ndio idea yenyewe
Kufanikisha haya yote nilikuja kugundua sio wazo pekee na idea inaeeza kutekeleza hili bali pia na mtaji hasa wa baadhi ya vifaa wezeshi unaweza kufanya hili jambo kutekelezeka kiurahisi kabisa
MUWEKEZAJI
Kwakuwa hii huduma inahitaji uwekezaji pia basi niliona ku share hili wazo kwa wewe ambae unamtaji na hujafahamu niwapi hasa ungeweza kuwekeza na kupata faida za uwekezaji wako, nikutoe shaka na nikukaribishe kuwekeza kwenye hili wazo kwakuwa mimi pia ninaufahamu mzuri wa hii huduma lakini pia ni muajiriwa ambae nahusika na usambazaji wa hii huduma ya Dedicated and shared Internet kutoka local providers hapa nchini
MCHANGANUO WA UWEKEZAJI KATIKA HUDUMA AU WAZO HILI
1. Kwanza kabisa lazima tuwe na mtaji wa kununua Unlimited package kutoka kwa local providers ambapo vifurushi vyao huuzwa kwa kuangalia kipimo cha speed ya internet kinachofahamika kama Mbps ( megabite per second )
Hichi kipimo ndio huwezesha kujua hitaji na kiwango cha uhitaji kulingana matumizi ambapo kama nilivoeleza hapo juu kwa local providers wengi 20Mbps kwa shared Internet huuzwa 100,000 na kuendelea
2. Vifaa wezeshi ambavyo vitaweza kuwapa huduma mtu mmoja mmoja baada ya kupata internet kutoka kwa local provider bahati nzuri hivi vifaa sio ghali sana kwa matumizi ya mtu mmoja mmoja japo kwa hapa Tanzania vifaa huuzwa kati ya 60,000 up to 90,000 per person
3.Masoko ya utoaji wa hii huduma, habari njema nikuwa masoko yapo mengi sana kiasi ya kwamba hii ni fursa pana yenye faida endelevu kuliko biashara nyingi mtaani unaweza kurudisha ghamaza za investment yako hata ya milioni 500 kwa muda wa miez 4 au 5 tu
NAMNA FAIDA ITAKAVOPATIKANA NA KUONA UWEZEKANO WA KURUDISHA GHARAMA ZA UWEKEZAJI WAKO KWA MUDA USIOZIDI MIEZI 5
Mchanganuo kwa yule mwenye mtaji wa 20Milioni tuone tunairudisha kwa muda upi.
Kama nilivyoeleza awali 20mbps huuzwa kwa 100,000 na pia 20mbs inauwezo wa kuhudumia hata watu 10 kwa matumizi ya internet ya kawaida ambayo ni unlimited kwahiyo nisawa na kusema
20mbps = 10 users (watumiaji )
400mbps = 200 users (watumiaji )
Naimani tunaelewana kidogo
20mbps = 100,000
400mbps = 2,000,000
1 user = 90,000 installation cost+ device
200 user = 18,000,000 device + installation cost
kwaiyo :
400mbps = 2,000,000
200 users = 18,000,000
TOTAL : 20,000,000 Capital
MCHANGANUO WA FAIDA
Kama mtumiaji mmoja utaamua kumchaji 1,000 kwa siku kupata huduma ya Unlimited internet inamaana kwa watumiaji 200 kwa siku utakusanya 200,000 na ukizidisha kwa siku 30 yaani mwezi utakusanya 6,000,000/=
Sasa 6,000,000 - 2,000,000 (gharama ya 400mbps kwa mwezi) = 4,000,000
Kwaiyo monthly unapata net profit ya 4,000,000/=
Ukiizidisha kwa miezi 5 yaani
4,000,000 × 5 = 20,000,000
Kwa lugha nyepesi miezi 5 inarudisha gharama za investment na kuanzia mwezi wa 6 nakuendelea unakula faida hata miaka 3 hata 10
Na hii miezi imefika sita kutokana na users device kwa hapa tanzania zinauzwa ghali ila kama utaagiza miezi ya kurudisha mtaji inafika 3
Kwa hizi details inatosha kwa yule mwenye nia ya uwekezaji
Hivo basi kama umtaji huo au zaidi ya huo nakukatibisha tuweze kufanya hii biashara na hata kabla ya kuwekeza hiyo pesa unaweza ukaanzajaribio kwa 1,000,000 ukaona malipo na inavyofanyiks kisha ukaingia kwenyr investment
Napatikana Dar es Salaam ila hii biashara inaweza kuekezwa popote tanzania kwenye eneo linalopatikana network ya 4G na hata 5G
Kwa mtu serious na unapatikana Dar es salaam tunaweza kuonana na ku discuss in more details na tukaona tunalifanikishaje hili
Pia kwa maswali nakaribisha mwenye swali kuhusiana na Idea hii
Mawasiliano : 0710020066 call & WhatsApp
Inahimili hata 15 mbnKumbe speed ya 30mps ni kwa watu 10 tu,nikajuà inaweza himili hata watu 30