Ni kweli nimejaribu nimeshindwaUko sahihi mkuu.
Vichwa vya habari huwa haviwezekani kubold
Mkuu ni kweli uchawi Upo kabisa mi nashangaa hapa jf watu wanabisha tuNyoka za songea hzo hazijawahi kuwaacha watu salama
Hii scenario ya pili kuacha ile ya yule mzee aliyebeba nyoka kwenye boksi
Inaonekana songea wanatumia sana nyoka
Nashukuru kwa kuleta ushuhuda mwinginemkuu nilipoona to hii thread nikasemaa hii lazma itakua kwetu kusini, kiukweli huko kwetu kuna uchawi sana yan, yan hata mm kiukweli nimejenga tabia ya kufananisha tukio lolote linalotokea katika hali ya kawaida na uchawii,, watu wanalogana sana songea, watu wanatajrika sana kwa uchawii, watu wengi wanautajiri wa nyoka kama unakumbuka miez c mingi watu waliua nyoka na mtu wake huko kwetu songea, so uchawii upo na ni kawaida sana kwa cc wakaz wa uko. Over
Mkuu nadhani unabisha kitu usichokijuwa kila maeneo Wana aina yao ya uchawi huu niliokupa Mimi ni aina moja wa uchawi hao wanauwa wazazi wao ni wapuuzi tuUchawi upo ila wazungu walitufikirisha vibaya kuwa wachawi yaani wenye huo uchawi ni watu wabaya sana hivyo tuwachukie. Mfano ni wenyejiwa kanda yaziwa. Huwaua hata wazazi wao kwa kuwachoma moto ati ni wachawi. Mama akubebe mimba miezi 9 akuzae kwa maumivu mengi, akupe damu yake unyonye miaka 2. Leo uchukue jiwe, panga, mkuki umuue ati ni mchawi??
Nadhani wewe ni kichaa flan. Serekali iruhusu wakufunzi rasmi wawafunde watu kama hatutagundua nishati mbadala ya umeme
Mkuu nadhani unabisha kitu usichokijuwa kila maeneo Wana aina yao ya uchawi huu niliokupa Mimi ni aina moja wa uchawi hao wanauwa wazazi wao ni wapuuzi tu
critical thinker
..Nyoka aliyeuliwa alikuwa anamiliki vijiji 15 katika maeneo hayo alitumiwa kuiba vitu mbalimbali kama vile pesa,Kuku n.k.
Shida ameweka chumvi nyingi sana.Hizi ni story za wanavijiji tu na hazina ukweli wowote. Nyoka "anamiliki" vijiji 15? π
Mkuu ninachokwambia ni kweli kabisa mkasa huu nimeshuhudia kwa mboni zangu mbiliHizi ni story za wanavijiji tu na hazina ukweli wowote. Nyoka "anamiliki" vijiji 15? π
Kama unaishi mjini tu huwezi jua jaribu kuzunguka maeneo mbalimbali mkuu,uchawi Upo kabisa nimeprove kwa macho yangudoh sijui kwanini,mi siamini kama uchawi upo ase.
hata kwa hii stori yako,mkuu bado sijaamini kama kweli,iko kitu kipo.