Je, unaamini kuwa uchawi upo?

Je, unaamini kuwa uchawi upo?

Wewe mkuu huyo ni Roho mtakatifu alikuwa anaondoka anaondoka zake kurudi mbinguni . [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Bahati mbaya ni mvivu wa kuandika lakin kisa cha kusisimua zaid maishani mwangu ni kitendo cha mganga toka tanga kufariki ghafra baada ya kumaliza kutoa kafara ya kondoo pale nyumbani mwanza
 
Uchawi ni science iliyojificha tena chafu kupita kiasi. Ndio maana wazungu wanasema " life is a game "
 
Toa sababu iliyopelekea we we kuamini kuwa mwanga ule ni wa kichawi ilihali ulikuwa Jirani na kanisa
 
Uchawi huwasumbua wasioamini kuushinda uchawi kwa imani ya Yesu
 
Habari za muda huu tulivu wapendwa wangu wa Jf,

Niende moja kwa moja kwenye mada husika, ilikuwa siku moja nilikuwa natoka kuwatafuta rafiki zangu mitaani maana wao waliwahi kurudi nyumbani mimi waliniacha shule nikiwa nawasaidia walimu kusahihisha mitihani ya kidato cha pili,sasa niliporudi nyumbani sikuwakuta kwani tulipanga ktk nyumba moja.

Baada ya kuona hawapo nikaamua kipita mitaani kuwatafuta kwa bahati mbaya niliwatafuta kwa muda mrefu sana bila mafanikio, ilipofika saa tatu ya usiku nikaamua kuanza kurudi nyumbani tu maana wao sikuwaona

Sasa nikiwa njiani kuelekea nyumbani nilipofika karibu na kanisa nikashangaa nimemulikwa na mwanga mkali sana toka juu ya mti nilioupitia jirani yaani huo mwanga sijawahi kuuona tangu nizaliwe mpaka leo hii na huo mwanga baada ya kunimulika ulipotea juu kwa juu na kutoweka ghafla.

Kwa kuwa nilikuwa peke yangu ikabidi nianze kukimbia kwenda nyumbani aisee niliona nyumbani ni mbali kama naenda urusi hivi sijui wenzangu kama mmeshawahi kukutana na matukio ya ajabu ajabu kama yalivyonikuta mimi.
Je Unadhibitishaje Huo ni Uchawi.... Kwanini Asiwe malaika?
 
Watu walivyo wanafiki humu hutasikia hata mmoja akisema ni mchawi au anaamini uchawi wote utasikia wakipinga kwa bahati nzuri unafiki wa binadamu unafahamika vizuri sana...
Mtaumbuka siku moja kwa jina la Yesu Kristo enyi wachawi na mawakala wote wa shetani.
 
Back
Top Bottom