Je, unadhani 'Bunge Live' imerejeshwa kwa moja ya sababu ipi labda Kubwa hapa?

Je, unadhani 'Bunge Live' imerejeshwa kwa moja ya sababu ipi labda Kubwa hapa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kuwaambia Watanzania kuwa Hayati Rais Dkt. Magufuli alikuwa ni Dikteta na ana Roho Mbaya sana?

2. Kumtafutia Sifa na Umaarufu Rais wa sasa Samia kwa Gharama ya Maamuzi ya iliyokuwa Serikali ya Rais Hayati Rais Dkt. Magufuli ambayo Rais wa sasa Samia nae alikuwa ni sehemu yake.?

3. Kumuondolea Lawama Waziri Nape Nnauye ambaye Bunge Live ilisitishwa akiwa Waziri na sasa imerudishwa bado tena akiwa ni Waziri?

4. Kutaka kupitisha na Kuwaaminisha rasmi Watu ( Umma ) na Propaganda zao ili Waaminike na Wavivu na Goigoi katika Kufikiri?

5. Ni moja ya takwa Muhimu la nchi Kubwa ( hasa hasa ) za Magharibi, Umoja wa Ulaya na akina WB pamoja na IMF kuwa Tanzania ilikuwa na ukandamizaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari hivyo ili wapate Pesa za Misaada katika Miradi mbalimbali basi warejeshe Kwanza Bunge Live Tanzania?

6. Kutaka kwa Makusudi kutuonyesha Watanzania 'incompetence' ya Wabunge wengi wa Bunge hili ambao wameshinda na kuwa Wabunge kwa 'Ujanja Ujanja' na 'Mizengwe' mingi?

7. Kuhamisha Mawazo mengi na Fikra nyingi za Watanzania ziwe zinajikita kwa Bunge Live kwa ama Kushabikia au Kuhoji tu ya huko huku Kwingineko Wajanja wakifanya yao katika Kunyonya Rasilimali za Tanzania na Kujineemesha nazo Kibinafsi, kwa Familia zao na wale ambao Kutwa hupenda Kujikomba na Kujipendekeza Kwao?

Ninasubiria 'mirejesho' yenu tu Wakuu.
 
Ccm imepoteza mvuto...japo kuna wapinzani watasema ilishapoteza mvuto zamani,,lkni if we had serious pollsters nadiriki kusema kwa mara ya kwnza kwenye nchi hii wangegundua unfavorability ya ccm ni higher than favorability yao.
 
1. Hii Inathibitisha kuwa awamu hii ya 6 imedhaamiria kukuza na kuimarisha Uhuru wa vyombo vya Habari na pia kuhakikisha Watanzania wote wanapata Haki ya kuhabarishwa na kufuatilia hoja na mijadala inayo endelea Bungeni.

2. ni uthibitisho tosha kuwa kwa sasa vyombo vya habari vinapumua.....................

Pongezi kwa awamu ya 6 kwa kuupiga Mwingiiiii.

na kazi iendeleeeee...............................
 
Bunge live nani ataangalia? Bunge la chama kimoko hata shetani mwenyewe atalionea aibu. Waendelee kutolionyesha kwani watapoteza pesa za walipakodi. Kwa mjimuiko uliopo ndani ya bunge wazi kwambabunge litakuwa halina ladha.
 
Ccm imepoteza mvuto...japo kuna wapinzani watasema ilishapoteza mvuto zamani,,lkni if we had serious pollsters nadiriki kusema kwa mara ya kwnza kwenye nchi hii wangegundua unfavorability ya ccm ni higher than favorability yao.
Magufuli alilijua hili ndio maana akafanya alichofanya uchaguzi wa 2019 na 2020 na kuzima bunge lilokuwa na wapinzani
 
Walisitisha kwa sababu za kipuuzi, na hata sasa wamerejesha kwa sababu zile zile! Za kipuuzi.
 
1. Kuwaambia Watanzania kuwa Hayati Rais Dkt. Magufuli alikuwa ni Dikteta na ana Roho Mbaya sana?

2. Kumtafutia Sifa na Umaarufu Rais wa sasa Samia kwa Gharama ya Maamuzi ya iliyokuwa Serikali ya Rais Hayati Rais Dkt. Magufuli ambayo Rais wa sasa Samia nae alikuwa ni sehemu yake.?

3. Kumuondolea Lawama Waziri Nape Nnauye ambaye Bunge Live ilisitishwa akiwa Waziri na sasa imerudishwa bado tena akiwa ni Waziri?

4. Kutaka kupitisha na Kuwaaminisha rasmi Watu ( Umma ) na Propaganda zao ili Waaminike na Wavivu na Goigoi katika Kufikiri?

5. Ni moja ya takwa Muhimu la nchi Kubwa ( hasa hasa ) za Magharibi, Umoja wa Ulaya na akina WB pamoja na IMF kuwa Tanzania ilikuwa na ukandamizaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari hivyo ili wapate Pesa za Misaada katika Miradi mbalimbali basi warejeshe Kwanza Bunge Live Tanzania?

6. Kutaka kwa Makusudi kutuonyesha Watanzania 'incompetence' ya Wabunge wengi wa Bunge hili ambao wameshinda na kuwa Wabunge kwa 'Ujanja Ujanja' na 'Mizengwe' mingi?

7. Kuhamisha Mawazo mengi na Fikra nyingi za Watanzania ziwe zinajikita kwa Bunge Live kwa ama Kushabikia au Kuhoji tu ya huko huku Kwingineko Wajanja wakifanya yao katika Kunyonya Rasilimali za Tanzania na Kujineemesha nazo Kibinafsi, kwa Familia zao na wale ambao Kutwa hupenda Kujikomba na Kujipendekeza Kwao?

Ninasubiria 'mirejesho' yenu tu Wakuu.
Ogopa uongozi unaopenda show off kujionyesha onyesha wkt hakuna la maana zaid ya kuuza nchi kwa watu wachache ujinga mtupu
 
Kwahyo wao wanaamua Leo liwe live kesho lisiwe live, rais inabidi awe na mipaka ya maamuzi km taasisi. Hiii badilibadili maamuzi wanadhalilishana wao wenyew km taasisi 😪
 
1. Kuwaambia Watanzania kuwa Hayati Rais Dkt. Magufuli alikuwa ni Dikteta na ana Roho Mbaya sana?

2. Kumtafutia Sifa na Umaarufu Rais wa sasa Samia kwa Gharama ya Maamuzi ya iliyokuwa Serikali ya Rais Hayati Rais Dkt. Magufuli ambayo Rais wa sasa Samia nae alikuwa ni sehemu yake.?

3. Kumuondolea Lawama Waziri Nape Nnauye ambaye Bunge Live ilisitishwa akiwa Waziri na sasa imerudishwa bado tena akiwa ni Waziri?

4. Kutaka kupitisha na Kuwaaminisha rasmi Watu ( Umma ) na Propaganda zao ili Waaminike na Wavivu na Goigoi katika Kufikiri?

5. Ni moja ya takwa Muhimu la nchi Kubwa ( hasa hasa ) za Magharibi, Umoja wa Ulaya na akina WB pamoja na IMF kuwa Tanzania ilikuwa na ukandamizaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari hivyo ili wapate Pesa za Misaada katika Miradi mbalimbali basi warejeshe Kwanza Bunge Live Tanzania?

6. Kutaka kwa Makusudi kutuonyesha Watanzania 'incompetence' ya Wabunge wengi wa Bunge hili ambao wameshinda na kuwa Wabunge kwa 'Ujanja Ujanja' na 'Mizengwe' mingi?

7. Kuhamisha Mawazo mengi na Fikra nyingi za Watanzania ziwe zinajikita kwa Bunge Live kwa ama Kushabikia au Kuhoji tu ya huko huku Kwingineko Wajanja wakifanya yao katika Kunyonya Rasilimali za Tanzania na Kujineemesha nazo Kibinafsi, kwa Familia zao na wale ambao Kutwa hupenda Kujikomba na Kujipendekeza Kwao?

Ninasubiria 'mirejesho' yenu tu Wakuu.
Wameshitukia Bunge lao halina mvuto sasa wanataka kulazimisha Bunge kupata attention. Kama mimi Binafsi nilishasahau kama kuna mikutano ya Bunge.
 
Back
Top Bottom