Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema kuwa yeye ni msemaji wako siku hizi 🤣🤣Tayari kimeumana kule...
Akiweka uni tagweka picha niko sirias
Nimecheka..ila wako.watu wa hv .jumatatu kwa jumatatu hela inamtoka..anachofanyia hukioni🤣Ha haaa sijawahi ingia kwenye marejesho shoga, siweziii nitakonda bure 😀
Mimi nna vikoba viwili🤧🤧 ijumaa na jumapili...lol puta balaa...! Wanaume wenyewe ndo hawa tia maji tia majiAcha tu.
Watu mitaani wanalia na marejesho.
Sahv ukipata bwana, inabidi umuweke wazi na miradi yako ya marejesho.
Maana hali tete
Nashukuru sina, maana najua wapi pa kupata pesa...hahahahahah!!!Mimi nna vikoba viwili🤧🤧 ijumaa na jumapili...lol puta balaa...! Wanaume wenyewe ndo hawa tia maji tia maji
Sikujua ila bora nimetambuaNdo msemaji wangu...ulikuwa hujui kwani jamani
Ulivyokwenda kujiunga ulitushirikisha😎Mimi nna vikoba viwili🤧🤧 ijumaa na jumapili...lol puta balaa...! Wanaume wenyewe ndo hawa tia maji tia maji
Sijapata
Pia sifa zangu zingine zimepungua si unajua miaka 8 si mchezo.. 😀
Kabisa...ongezea hapo, ajue nina marejesho kuanzia J3 mpaka Jmosi hivo awe tayari kwa lolote
Mtoto halali na hela umepata ujumbe?
Hahahahahahahahhaaha....hahahahahahhaa....hahahhahaa..mniwacheeUlivyokwenda kujiunga ulitushirikisha😎
Ujumbe umeelewekaKabisa...ongezea hapo, ajue nina marejesho kuanzia J3 mpaka Jmosi hivo awe tayari kwa lolote
Mtoto halali na hela umepata ujumbe?
Nishakuwachaaaa🤣🤣Hahahahahahahahhaaha....hahahahahahhaa....hahahhahaa..mniwachee
🤣🤣🤣Marejesho ya nini tena
Acha tu tunakonda bila kupenda...Nashukuru sina, maana najua wapi pa kupata pesa...hahahahahah!!!
Ila ninavyowaona akina mama wanavyohaha na marejesho, hadi huruma.