Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifuani mwenu mmeficha chuki kubwa dhidi ya Zanzibar... na si Zanzibar kama jina ila ni zaidi ya hapo...... Allah atadhihirisha hili siku moja Insha Allah
Suleiman yupi?
mkuu pasco "soma" usiburuzwe! ivi unajua kua zanzibar iliandaliwa iungane na kenya kwa mbinu za kijasusi, distance ndo ilikua criteria ya zanzibar kuungana na tanganyika? ivi unajua visiwan kokote duniani ni tajiri by nature? refer island biogeography and spp richness! rudi chuo pasco!
Sioni kama kuna kikubwa kilichobadilika, bado kisiwa kinaendelea kuitawala bara hadi leo!Nijuavyo ni kuwa hata Tanganyika kabla ya kuwa Tanganyika ilikuwa himaya ya Zinjbar.
Mkuu ndai, haya ndio nayasikia kwako leo!. Kuna kitu kinaitwa historia ya kweli na kuna kitu kinaitwa hadithi, au simulizi za kale!, au mapokeo na kuna kitu kinaitwa uthibitisho wa kisayansi na kiteknolojia!. Naomba usichanganye simulizi na mapokeo ukayageuza ndio historia!.
Ninachokijua ambacho hata sayansi inakithibitisha, Visiwa vya Zanzibar vilikuwa ni sehemu ya bara miaka milioni nyuma!, vikamegeka na eneo la kati likasombwa na mmomonyoko!, hivyo kwa Tanzania kuishikilia Zanzibar, kuitawala kwa mlango wa nyuma na hata kuiadabisha ikibidi, ni kutimiza haki yetu on what is our rights!.
Wavamizi Waarabu walipokuja na kuvitwaa as if havina wenyewe, wakakulia, wakazaliana, wakalowea na sasa baadhi yao wameanza kujisahau kwa kudhania visiwa hivyo ni mali yao ilhali wao ni watu wa kuja tuu!.
Mapinduzi Matukufu ya 1964, vilirudisha heshima ya visiwa hiyo iliyoporwa na madhalimu wale na muungano ukavirudisha visiwa hivyo kwa wenyewe halisi.
Mapinduzi Daima!
Muungano Udumishwe!
Mungu ibariki Tanzania.
Pasco
Sioni kama kuna kikubwa kilichobadilika, bado kisiwa kinaendelea kuitawala bara hadi leo!
Mkuu Barubaru,Pasco,
Je unaweza kutueleza Eneo la nchi ya Znz limeingia mpaka Tanganyika kwa maili ngapi? kufuatana na mkataba wa kimataifa wa eneo hilo la Znz?
Je huoni kuwa nje ya muungano Ikulu ya magogoni, jengo la BOT (twin tower) na viunga vyake vyote kuanzia mnazi mmoja, posta, kariakoo nk vitakuwa katika eneo la Znz?
Mkuu Barubaru,
Najua unazungumzia zile 10 miles za wale wakoloni, mabeberu na makabaila wa Berlin wa ile 1884, walimgawia Sultan visiwa vile vya Zanzibar na maili 10 za ukanda wa Pwani as if visiwa vile ni mali ya Sultan, kumbe hata huyu Sultani mwenyewe ni mvamizi fulani tuu, kama walivyo wavamizi Wajerumani.
Baada ya Mjerumani kupata kipigo kitakatifu, akanyanganywa maeneo yote aliyoyapora, na ndipo Tanganyika ikakabidhiwa kwa Waingereza ile 1920 na ule ukanda wa maili 10 kufutwa rasmi, na ni kipindi hicho Waingereza walipowapa Ziwa Nyasa wenzetu wa Malawi!.
Pasco
Je kuna mkataba wowote ulioopo wa kufutwa kwa hiyo 10 miles za Znz kwa Tanganyika?
Hakuna mkataba wowote rasmi wa kuzifuta ila ramani zote tangu 1920 zinaonyesha Tanganyika hadi kando ya bahari!. Ni hivyo hivyo kwa ziwa Nyasa linaonyeshwa liko Malawi, wakati ziwa Tanganyika liko Tanzania. Ramani za zamani ziliukata mlima kilimanjaro nusu nusu na Kenya, Waingereza wakaipindisha ramani pale mlima ukawa huku kwetu!.
Kwa vile Zanzibar ilikuwa part ya Tanganyika during Ice Age, tuwaweza kusema aneo lote la Zanzibar lilikuwa part of Tanganyika kabla wavamizi Waarabu hawajalitwa na kuunda Zenj Empire!. Kwa vile mlipewa hizo 10 miles costal trip na Mjerumani ile 1884, mnaweza kabisa mkarudia Mjerumani na kumlalamikia kuwa mmeporwa hivyo you have the right to claim what was rightly yours from 1884 na sisi not only tutaclaim what was ours pre-1884, but we can, as well chase away wavamizi haws na vizalia vyao warudi kwao walikotoka on the first place!.
Hivyo unaweza kupima ipi bora!, bora mjinyamazie kimya na mkaachwa kuendelea kuishi kwa hisani kwenye eneo mlilovamia, au mkaamua kupiga kelele za kuporwa kisicho chako, kisha mwenenacho halisi akaja sio tuu akakupokonya hata hicho kidogo ulichopora!,bali pia akakutimulia mbali, urudi kwenu mlikotoka!.
The choice is yours!.
Pascal.
Katika huo mkataba ni nani aliwakilisha Zanzibar na nani aliwakilisha Tanganyika? katika kuigawa ardhi ya nchi yao ya ahadi....Pasco,
Je unaweza kutueleza Eneo la nchi ya Znz limeingia mpaka Tanganyika kwa maili ngapi? kufuatana na mkataba wa kimataifa wa eneo hilo la Znz?
Je huoni kuwa nje ya muungano Ikulu ya magogoni, jengo la BOT (twin tower) na viunga vyake vyote kuanzia mnazi mmoja, posta, kariakoo nk vitakuwa katika eneo la Znz?
Nijuavyo ni kuwa hata Tanganyika kabla ya kuwa Tanganyika ilikuwa himaya ya Zinjbar.
na zinj/zanj au vyovyote utamkavyo inamaanisha MTU MWEUSI!
Mkuu ndai, haya ndio nayasikia kwako leo!. Kuna kitu kinaitwa historia ya kweli na kuna kitu kinaitwa hadithi, au simulizi za kale!, au mapokeo na kuna kitu kinaitwa uthibitisho wa kisayansi na kiteknolojia!. Naomba usichanganye simulizi na mapokeo ukayageuza ndio historia!.
Ninachokijua ambacho hata sayansi inakithibitisha, Visiwa vya Zanzibar vilikuwa ni sehemu ya bara miaka milioni nyuma!, vikamegeka na eneo la kati likasombwa na mmomonyoko!, hivyo kwa Tanzania kuishikilia Zanzibar, kuitawala kwa mlango wa nyuma na hata kuiadabisha ikibidi, ni kutimiza haki yetu on what is our rights!.
Wavamizi Waarabu walipokuja na kuvitwaa as if havina wenyewe, wakakulia, wakazaliana, wakalowea na sasa baadhi yao wameanza kujisahau kwa kudhania visiwa hivyo ni mali yao ilhali wao ni watu wa kuja tuu!.
Mapinduzi Matukufu ya 1964, vilirudisha heshima ya visiwa hiyo iliyoporwa na madhalimu wale na muungano ukavirudisha visiwa hivyo kwa wenyewe halisi.
Mapinduzi Daima!
Muungano Udumishwe!
Mungu ibariki Tanzania.
Pasco
Narudia tena, sitaki kuona mnazungumzia tena habari ya Zanzibar au Tanganyika. Yatakayokukuta utajuta!