Je, unafahamu katika nchi zinazoendelea kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha kutokana na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi?

Je, unafahamu katika nchi zinazoendelea kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha kutokana na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi?

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Suala la Usalama na Afya mahali pa kazi ni muhimu kuangaliwa kwa makini tunakoelekea kwenye uchumi wa kati unaoongozwa na viwanda ili kuokoa maisha ya wengi.

Shirika la kazi Duniani (ILO) limeonesha kuwa kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha na ndani ya saa 24 wafanyakazi 5760 hupoteza maisha yao

Kwa mujibu wa Shirika la kazi Duniani (ILO), Kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha na ndani ya saa 24 wafanyakazi 5,760 hupoteza maisha yao kutokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi.

Kila sekunde 15, Wafanyakazi 153 hupata maradhi yatokanayo na kazi na hivyo ndani ya saa 24 Wafanyakazi 881,280 hupatwa na maradhi.

Chanzo: www.futurelearn.com/courses/occupational-health-developing-countries/0/steps/13074.
 
Hivi kwa sera ya serikali ya sasa bodaboda ni kiwanda ?
 
Kwa utaratibu wa urasmishaji unaoendelea bodabida ni occupation
basi kwaku msuport mtoa mada , hii occupation imekula watu wengi sana ukizingatia ingali bado changa sijui uko mbeleni itakua vipi!
 
Zipo zinazoongoza kwa kula Duniani " Kuna mining and construction ni balaa"
Agriculture ni ya tatu.
 
Back
Top Bottom