Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Huyu jamaa namkubali sana maana hata baadhi ya mafunzo kwenye kibarua changu cha ulinzi niliyafanyia kwakeUzima upo Mkuu, Mungu ni mwema sana.
Huwa pp yako inachangia sana Mtu kutoshindwa kukukumbuka kwa jinsi huyo Jamaa alivyo sirias [emoji16]