Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Aisee... Well said mkuu
Nzuri Sana. Mimi nataka maisha yangu yajae furaha, huwa najipaka mafuta ya alizeti.[emoji258]na pia hua nakaa jirani na waridi ili ninukie [emoji257]
Watu wanaokuzunguka Wana mchango mkubwa Sana kwenye maisha yako, eidha ya mikosi au ya baraka.
Lakini katikati ya watu wenye mikosi, nuksi na mabalaa, unaweza kuamua usiwe sehemu ya maisha Yale.
Unaweza kutokea kwenye familia fukara Sana na ukaamua ule ufukara usikufuate wewe Wala wanao.
Jitenge na Kila laana ya hao watu.
Kuna watu wanajisifia magonjwa, huu ni ugonjwa wangu. Utaponaje iwapo umeshajimilikisha?
Mwanzo 12:1
BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonesha
 
Nimefungua hilo uzi huu kutokana na hili jina 'Denvers'

Nairobi , Tokyo........
No huyu sio Denvers wa money heist.
Ni Carol Danvers au Captain Marvel mimi nilikosea wakaweka e kwenye a. Denvers wa money haina s.. hafu ni jiji huko Corolado wakati Danvers ni jina la kiume
 
Ooohh kumbe
No huyu sio Denvers wa money heist.
Ni Carol Danvers au Captain Marvel mimi nilikosea wakaweka e kwenye a. Denvers wa money haina s.. hafu ni jiji huko Corolado wakati Danvers ni jina la kiume
 
Will come the day when everyone will want...
 
Will come the day when everyone one will want to shake hand with that worthless n useless guy!
 
Will come the day when everyone one will want to shake hand with that worthless n useless guy!
 
Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka
Umeeleweka...hata kwa wale wa la 5 b.
Umetumia mifano mizuri... . ..
 
Jamaaa umetisha sana kwa maelezo yako kuntu, ila kuhusu hili suala la kuwa addicted wa mambo haya yafuatayo 1.matumizi ya vileo, 2. Kupenda starehe, 3. Master(kujichua) nk nk ni moja kati ya mambo magumu mtu kujinasua..ila yataka moyo kuyashinda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Haya majina mawili yamenichanganya ngoja niendelee kuwasoma kwa mpigo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom