Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Anayeweza kuatach pdf humu jf kwa simu anielekeze...kuna mtu kaniomba pdf ya mada hii
 
“Mfano uko mtaani kila tukio baya likitokea basi unahusishwa, unaweza kuta yani wewe kila mwanaume anayekufata ni ni wa aina fulani usiyoipenda, labda mwizi, muhuni, mweusi, mfupi, mjinga ”

Wanawake wabaya ndio wanachagua maumbile ya mtu lakini wale 10s na 9s wanaangalia vitu vya rohoni (kama upendo wa kweli nk)ndio maana watu kama nyie mnasikika mitaani “kampendea nini au hawaendani”..ungekuwa Mkristo ningekuambia kitu ila Catholic aarrghhh
 
Ongea kitu kiongozi waweza nibadirisha kitu
 
Umeongea vizuri ila umeharibu kuniuta Dog..Don't do that again
 
Hahaa dahh....by the way ..mimi nime muelewa tena kwa kina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…