Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka
Hivi hapo kuna ahadi ya zawadi eti?Hiyo zawad hujawahi kunipatia...!!🙈🙈🙈
Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka
Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka
Sawa mkuu mm numekuelewa.Chumvi na maji havitakaa kuwa tiba ya kile kinachoitwa mikosi,ni dhana potofu isiyo na uthibitisho wowote au mantiki yoyote kwamba vitu hivyo ni suluhisho kwa hicho kinachoitwa mikosi ambacho hakina uthibitisho kuwapo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry ya nini Mkwe? Au ime sound kama ukali?.Sorry mkuu..
Siwezi kufanya hivo,labda vile sikusindikiza na emoji. Ingetakiwa niweke emoji ya 😜😜😜😜Nimehisi hivo..😢😢😢
I'm sorry
Sorry nilikuwa nimelala.Ulisema utanielekeza kitu[emoji53][emoji53][emoji53]
Sijayagusia kabisa kwakua hayakua yanahusu mada ninayotaka kuiandikaMind hapa umesema kuna subconscious mind? Na yule mwenzie conscious wako naye hapa au yeye yu wa?
Intellect: hujagusa kabisa sijajua ni makusudi au bahati mbaya?
Impression; inafanyaje kazi? Nn hii kitu nk.
Umegusa 10% ya mada yako, ndio mana hata wewe mwenyewe umekiri kwamba umesoma na hujaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante Kwa elimu nzuriNimeandika vingi nikajua naweza kua nimefanya msielewe. Sorry