Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?


Mkuu nashukuru kwa udadavuzi wako, ingawa umeongea mambo mengi mno kwa wakati mmoja kiasi kwamba ni machache tu nimeyaelewa.

And by the way inaonekana mambo unayonambia aither yapo katika ama mwisho, kwa sababu kwa point zako inaonesha dhahiri kabisa huenda kuna mambo ya mwanzo kabisa napaswa kuyajua kama msingi kabla hatujaanza kuipandisha nyumba juu.

Ni jambo zuri umenambia kwamba inabidi nianzie kwenye kujiuliza mimi nani, natoka wapi na kwenda wapi, kwanini naishi hapa duniani e.t.c.

I think I need to format and restore my life first, that's the only way to copy with your ideas.
 
Huu uzi sijui ulinipita wapi?
Nways nimeuelewa vilivyo


Sent from my 502SO using JamiiForums mobile app
 
Dah nimecheka kishenzi[emoji23][emoji23]yani mwandika uzi ye mwenyewe haelewi kaandika nini mimi ninani mpaka nielewe[emoji23][emoji23]
 
I am greatly blessed by your wisdom. May God give you a long life[emoji2969]
 
Unaposema watu wenye mwili unamaanisha nini?? Ulitaka ufundishwe na watu gani??
Ooh namaanisha watu ninaowaona mfano wachungaji, padri, au wanaoitwa manabii nk. Kwa sababu wengi wao Mimi siwaamini, nabaki na maswali mengi kichwani, ambayo nikimuuliza kila mmoja anajibu kulingana na level ya ufahamu wake.

Lakini nikifikiria Yusufu kule Misri alikuwa kijana tu, ila hakumuacha Mungu, na in kama vile kule hakukuwa na walimu au manabii wa kumfundisha, Ila bado Mungu alikuwa pamoja naye. Akina Danieli, Mishaeli, Hanania na Azaria walivyokuwa Babeli bila shaka pia walikuwa vijaba Ila walikuwa na elimu ya kina kuhusu mambo ya kiroho. Je, walifundishwa na nani?

Hivyo swali langu lililenga kutaka kujua kama naweza kujufunza mwenyewe mambo ya Mungu kwa kusoma vitabu vya dini, nikaelewa kwa kina kabisa bila kufundishwa na hao waluosomea vyuoni?
 
Mkuu nashukuru sana kwa kujali, walakini sina access na hilo jukwaa (la dini).
 
Oh mkuuu nashukuru sana kwa bandiko hili. Nitalisoma walau mara tatu ili kulielewa vizuri. Barikiwa mno.
 

Noted.
 
Madini tupu. Tunasubiri mkuu
 


You are so right Chief!

Meli haizami kwa sababu imezungukwa na maji ila inazama kwa sababu imeingia/ingiwa maji!

You are the artist of your own life, don’t hand the paint brush to anyone else!
 
Inaeleweka, itakuwa una kichwa chepesi
 
My humble personage bow before JF member's grandeur..No other memeber (in JF Intelligence) has ever the might neither nobility to wield not 200 Likes but 320Likes.The honor lies in my grasp.

#ThanksJF
 
✓✓Coppied kutoka Kwenye uzi wangu jukwaa la dini

Nyaraka zote za wakorinto zimeandikwa na Mtume Paulo ambae alikua msomi na ngulii wa mafundisho ya Kifarisayo chini ya mwalimu wake Gamalieli. [Wote tunajua yaliyotokea hadi kua mfuasi wa Kristo]

Kipindi hicho dini nyingi za kipagani zilikua zimejikusanya huko Korintho na miji mikubwa yote, maisha kwa wakristo wa huko korintho yakawa yana taabu sana kutokana na changamoto nyingi kutoka kwa wapagani. Hivyo paulo aliandika nyaraka 2 kwenda kwa wakorintho ili kuwatia moyo na kuwakuza kiimani lakini Paulo aliandika waraka fulani ambao ulikua wa kwanza kabisa kwenda kwa wakorintho Waraka huo ulipotea, haukufika kwa walengwa na haujulikani penye ulipo [1Kor 5:9-13].

Ikumbukwe alipoandika nyaraka za wathesalonike akikua anaishi Korintho.
Paulo aliopokaa Efeso walikuja watu kloe, Apolo n.k watu hao walimtaka Paulo aandike waraka mwingine kueleza na kushauri mambo mbalimbali. Hivyo Paulo aliandika waraka mwingine ambao ndio tunauita waraka wa kwanza kwa Wakorintho uliandikwa Pasaka ya Mwaka 57 Bk.

Baada ya kuandika waraka huo shida nyingine ikatokea korintho hivyo ikambidi kwenda korintho haraka, akarudi tena efeso na kuahidi kurudi tena korintho lakini yakatokea matatizo [2Kor 2:5-10,7:12]hivyo akabadili mpango wake wa kurudi korinto. Hivyo akaandika waraka wenye majonzi mengi kwenda kwa Wakorintho lakini Waraka huo nao ulipotea na haujulikani ulipo.

Baada ya kuvumilia taabu nyingi ambazo hata Kanisa Katoliki halizifahamu alitoka efeso (1KOR15:32, Mdo19:23-40). Hivyo akaandika waraka mwingine kwa wakorintho ambao ndio huu unaoitwa waraka wa Pili kwa wakorintho na mwenyewe Paulo aliweza kwenda Korintho kisha akarudi Yerusalem. Waraka huo umeandikwa mwishoni mwa mwaka 57BK.

HIVYO KWA UJUMLA.
Paulo kaandika nyaraka nne kwenda kwa Wakorinto ambazo ni...
Waraka wa kwanza kwa wakorintho uliopotea.
Waraka wa Pili uliopo ambao tunauita Waraka 1Wakorintho
Waraka wa tatu ambao ulipotea lakini uliwafikia walengwa.
Waraka wa nne ambao tunauita 2Wakorintho.
 
Quote hiyo hapo juu hopefully hamjawahi kutana nayo
Mkuu asante kwa andiko hili nami ni mmoja wa ambao hatukuliona mapema..

Nina swali..
Tafsiri ya majina ya Jesus na God katika lugha za makabila yetu ilifanywa na nani? Tukianza na Jesus kuwa ndio Yesu na God ndio Mungu...

Mkuu nashukuru sana kwa kujali, walakini sina access na hilo jukwaa (la dini).

Madini tupu. Tunasubiri mkuu
 
Family, Duty and Honor..

Family comes first, kama kichwa cha familia unatakiwa kuwa pamoja na familia yako muda kuilinda, Kuihudumia na kuiongoza..You can't protect the family if you're not with the family.

Duty comes second...As Kiongozi wa familia Timiza wajibu wako katika familia kama kichwa wa familia anavyotakiwa kua..Hatma ya familia ipo mikononi mwako. Kama Kiongozi fanya wajibu wako uweze kuivusha KIUCHUMI,KIAKILI,KIIMANI NA KIJAMII.

Then Honor.. Ukiyatimiza hayo utapata heshima yako unayostahili kama kichwa wa familia. Utazeeka ukiwa una uso ulio na afya njema maana familia yako itakua mikononi salama mwa mtu uliyemrithisha maneno hayo. Family Duty and Honor.

We all want to belong to something...We belong to the family.. Our family that we care and love.
#Vinjiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…