Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 287
- 279
Mimi nimekuelewa vzr sana. What and how you think is what and how you become.Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka
Ahsante sana mkuu kwa kunielimisha kitu hiki.. ndio maana siwez kuongea nikaelewekawatu wenye uwezo mkubwa wa uelewa uwaga hawawezi kuandika kitu kikaeleweka moja kwa moja na kwa urahisi zaidi...
mi nimenote hilo na nimekuelewa vizuri tu
Mtoa thread yupo sahihi sana. Tatizo ni wapi wewe umewekeza fikra zako mkuu, naimani ulivyoisoma habari yake yote kuna kitu umeking'amua huko ila sasa vile fikra zako ulivyozizoesha kuambatanisha kichwa na miundombinu ya jinsi ya uandishi ndio vimekupoteza mkuu. Jitahidi mara kwa mara kuelewa na kuwa mbunifu katika masuala ya uandishi na jinsi ya kufanya wasomaji wakuelewe vyema.Mkuu Maxence Melo mkama utaweza naomba uiedit mada..ili ieleweke vizuri!
Mkuu. Mimi ndio mwandishi wa hii mada.. ulikua wanishauri mimi?Mtoa thread yupo sahihi sana. Tatizo ni wapi wewe umewekeza fikra zako mkuu, naimani ulivyoisoma habari yake yote kuna kitu umeking'amua huko ila sasa vile fikra zako ulivyozizoesha kuambatanisha kichwa na miundombinu ya jinsi ya uandishi ndio vimekupoteza mkuu. Jitahidi mara kwa mara kuelewa na kuwa mbunifu katika masuala ya uandishi na jinsi ya kufanya wasomaji wakuelewe vyema.
Note: kukosea kupo.
Ahsante Miss Den kwa kuniweka sawa. Kidogo nilikosea katika ku-quote nikajipata nime reply kwako, maana lengo langu lilikuwa kumweka sawa Mkuu mmoja aliyekuwa anakukosoa.Mkuu. Mimi ndio mwandishi wa hii mada.. ulikua wanishauri mimi?
Je kuna ushauri waweza nipatia?
Ahsante sana Miss weapon nitajiamini kwa kila nifanyacho..nitakua nina edit before posting (Print Preview )Ahsante Miss Den kwa kuniweka sawa. Kidogo nilikosea katika ku-quote nikajipata nime reply kwako, maana lengo langu lilikuwa kumweka sawa Mkuu mmoja aliyekuwa anakukosoa.
Kuhusu ushauri wangu kwako, naomba ujitahidi kujiamini, maana kuna sehemu katika nyuzi hii umeonyesha wazi wazi kupitia post yako ya kuwa hata wewe umejaribu kukisoma ulichokiandika na bado haujakielewa!!! Pia hakikisha maneno na kagua ulichokiandika na kuweka sawa maneno yaliyobadilishwa na kiotomatiki na simu janja yako. Ahsante
The power of your subconscious mind by Joseph Murphy...
Nimekisoma kiongozi