Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's good to hear that.Salute sir...
My spawns will learn it hata kwa lazima
Sure broProtect your soul...
HelloUko sawa kabisa labda sijawasilisha point yangu vizuri ninachomaanisha ni haijalishi jambo gani limetokea nitalichukulia ktk mtazamo chanya na si kujiambia nina bahati mbaya japo najua bahati mbaya ipo.
Eti a random guy! Yu
Hello
I'm fine ma'am
Muda sana sijakuona, you're missed.
Ps. I'm not a boss
Mkuu hiyo kitu ilitokea wapi??Kuhusu swala la kujitambua inatokana na elimu anayopata MTU husika kama Ina mjenga ki akili, kuweza kutatuwa changamoto zinazo mzunguka.
Watu kupanga foleni kubwa, mpaka wengine kufariki njiani, Ili kupata kikombe Cha Babu,
Watu kukanyagana mpaka kufariki wakimlilia shujaa,
Washabiki wa yanga kufanya party ya kupakazana mav! Baada ya kuifunga azamu,
Watu kukanyagana wakigombania mafuta ya nguruwe(upako)( buludoza)mpaka kusababisha vifo,
Ni wazi wa TZ wengi sana na Kwa bahati mbaya Wana matatizo ya afya ya akili 😭😭😭
Kuishi ni upumbavu. Hakuna faida!Kuhusu swala la kujitambua inatokana na elimu anayopata MTU husika kama Ina mjenga ki akili, kuweza kutatuwa changamoto zinazo mzunguka.
Watu kupanga foleni kubwa, mpaka wengine kufariki njiani, Ili kupata kikombe Cha Babu,
Watu kukanyagana mpaka kufariki wakimlilia shujaa,
Washabiki wa yanga kufanya party ya kupakazana mav! Baada ya kuifunga azamu,
Watu kukanyagana wakigombania mafuta ya nguruwe(upako)( buludoza)mpaka kusababisha vifo,
Ni wazi wa TZ wengi sana na Kwa bahati mbaya Wana matatizo ya afya ya akili 😭😭😭
Tumeruhusu negative energy kutawala maishani mwetu!Jamii imetuwekea matakataka mengi kichwani.Tunaamini sana shida kuliko mafanikio,tunaamini sana umasikini kuliko utajiri, tunaamini sana Mbinguni kuliko duniani,tunaamini sana uimla kuliko upekee.