Je, unafahamu ngoma ya Forever Young ya Jay Z alikuwa na maana gani?

Je, unafahamu ngoma ya Forever Young ya Jay Z alikuwa na maana gani?

Kuna ngoma mbili tu nadhan sitoacha kuzisikiliza.

1) DROP THE WORLD ya Lil Wayne
Hii nikiwa kwenye mitulinga, napambana

2)FOREVER YOUNG ya Jay Z, hii nikiwa nimeamua kuenjoy maisha
Zamani, nilikua namchukulia simple sana Lil Wayne. Ila ilipofika kwenye drop the world, nikajilaumu kwanini sikumzingatia mapema hasa lyrics zake.

Nadhani ile flow yake na swagg za unyamwezi mwingi, ndio zimefanya watu wengi tuishie kuoverlook lyrics zake. Ila mzee, Lil Wayne ni lyrical genius.

Drop the world naisikiliza kila siku. Unyama aliofanya mule sio wa kawaida.


Back to the topic, forever young ilikua inazungumzia legacy. Hov anaamini ametengeneza jina ambalo hata muda hautaweza kulifuta. Ni moja kati ya ngoma zangu pendwa kutoka kwa Jay Z.
 
Drop the world naisikiliza kila siku. Unyama aliofanya mule sio wa kawaida.
Kama umeikubali flow yake mule basi sikiliza na "No love" aloshirikishwa na eminem.

Jamaa anakwambia "You put dirty on me, I grow into a wild flower........... my life is a bitch, but u know nothing about her, been to hell and back I can show you vouchers............"

jamaa katema cheche sana mule, eti "I stick to the script, you niggas skip scenes"
 
Kama umeikubali flow yake mule basi sikiliza na "No love" aloshirikishwa na eminem.

Jamaa anakwambia "You put dirty on me, I grow into a wild flower........... my life is a bitch, but u know nothing about her, been to hell and back I can show you vouchers............"

jamaa katema cheche sana mule, eti "I stick to the script, you niggas skip scenes"
Naona unampigania shemeji yako jeizii
 
Kama umeikubali flow yake mule basi sikiliza na "No love" aloshirikishwa na eminem.

Jamaa anakwambia "You put dirty on me, I grow into a wild flower........... my life is a bitch, but u know nothing about her, been to hell and back I can show you vouchers............"

jamaa katema cheche sana mule, eti "I stick to the script, you niggas skip scenes"
Zote nimesikiliza Chief. Kuna Mr. Carter yuko na Jay Z, kakiwasha pia.

Nilimpa heshima zaidi jinsi alivyoweza kwenda sawa na Eminem kwenye "Drop the world" na "No love". Eminem huwa anawameza sana rappers kwenye collabo, ila naona kama Lil Wayne aliweza kwenda nae sawa

"Life is the bitch, death is her sister
Sleep is their cousin, what a family picture"
- Lil Wayne
 
Zote nimesikiliza Chief. Kuna Mr. Carter yuko na Jay Z, kakiwasha pia.

Nilimpa heshima zaidi jinsi alivyoweza kwenda sawa na Eminem kwenye "Drop the world" na "No love". Eminem huwa anawameza sana rappers kwenye collabo, ila naona kama Lil Wayne aliweza kwenda nae sawa

"Life is the bitch, death is her sister
Sleep is their cousin, what a family picture"
- Lil Wayne
Mr Carter ni moja ya ngoma underrated saaaana, ile pin basi tu nadhan waliitoa kuchangamsha studio, last month nadhan wayne aliiweka kwenye youtube channel yake kipindi anatoa album ya "I am Music" watu wakadhan mpya lkn ngoma ina zaidi 13 years. Mule kwenye hio album kakuwekea ngoma kali balaa ikiwemo "She will" na hio "Drop the world"

Na ofcoz nilishawahi hata kusema humu, eminem ukimpa collabo ana probability kubwa ya kukumeza (labda ndo maana hana collabs nyingi) ila kwenye 'no love' na 'drop the world' wayne alienda nae sawa. Af nnachopenda mistari ya wayne kwenye hizo collabs anaflow polepole then eminem anakuja na flow ya faster, hizo ngoma hazichoshi kusikiliza.
 
Nikukumbushe tu forever young hata jigga kakopi ulioimbwa na alphaville sasa sijui mwenye mashairi ni nani
 
Nikukumbushe tu forever young hata jigga kakopi ulioimbwa na alphaville sasa sijui mwenye mashairi ni nani
Mashairi ya jigga na ya alphaville ni tofauti mzee, wamefanana chorus tu
 
Huo wimbo,wa Young forever,umenikumbusha mbali sana.Bonge la wimbo,kuanzia biti lake,ni biti la kibabe sana,hatakama hujui kiimbwacho.
 
Kuna ngoma mbili tu nadhan sitoacha kuzisikiliza.

1) DROP THE WORLD ya Lil Wayne
Hii nikiwa kwenye mitulinga, napambana

2)FOREVER YOUNG ya Jay Z, hii nikiwa nimeamua kuenjoy maisha
DROP THE WORLD Lil na Eminem wote waliua mno
 
Shida ni kwamba huu wimbo waliufanyia remix au tuseme kuna original version aliyoimbaga jamaa mmoja sema yeye hakutoboa nadhani Jay z alinunua full copy right .

Nilipoonaga original yake nilijikuta naipenda ile kuliko hii ya Jay zz
Mimi naipenda ile ya 'i just dead into your arms tonight' Original yake. Nina la jamaa limenitoka.
 
Jigga mtu mbaya sana kuna ile ngoma kapiga na pharel kakutana na demu akachukua mawasiliano wakadate weee mwisho wa siku anamuuliza jina lako nani???
 
Back
Top Bottom