Je, unafanyaje ukiwa umepigiwa full light barabarani?

Usiombe umepigiwa full then barabara imemeguka meguka Yani vipande kama pale kipande Cha chimala ya mbeya ukipigiwa full huoni unatoka nje ya lami unapigiza shimo[emoji1]

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Je ukikutana na Lori mwenzio utamfanyia hivyo hivyo barabarani heshimuni kila mtu mkuu.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tabia ya mtu kurekebisha ni ngumu mno, but always Linda usalama wako, slow down,keep left, na dim taa zako, ukitaka kushindana naye unaweza poteza maisha, muda na utajiharibia safari yako, kupishana ni less than 4s!
Exactly mkuu Kuna jamaa angu alinipakia siku Moja tunaenda bagamoyo tumefika sehemu tukapishana na magari ya mchanga ilikuwa usiku mwenye Lori alipiga full jamaa macho yake mabovu mbele kidogo bumps hiyo tuliifukia nikamwambia anipe nimpokee.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Mimi Huwa napunguza mwendo then nakeep left, Kuna wakati nilikuwa na gari flan hiv ilikuwa na full Moja Kali Sana utafikir spotlight, lazma anayekuja akubali kupunguza ndio tunaenda sawa
Wengine ukiwapigia full nao wanapiga Ili waone mbele wanapoenda.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Mafuso na magari ya kokoto ndo wenye fujo.

Ila semis hawanaga noma. Ni wastaarabu sana.

Wanaoendesha vigari vidogo ndo pasua kichwa sasa. Hao anaweza asipunguze mwanga hata kama umemuomba apunguze.
Hakuna magari yenye mataa ya ajabu ajabu kama mafuso maurembo kibao na taa zao Kali Sana.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Na hata ukipata shida hao ni likely kukusaidia kuliko wengine.
 
Hakuna madereva siwapendi kama waendesha malori....
Nilishapigwa full taa,zile zinakaa juu kabisa ya kibini aisee, aah wakuu mungu ni wakuabudiwa siku zote..
Zile za juu ya cabin ni kisanga mkuu [emoji119]
 
Kisanga hicho, inabidi kuwa mpole tu aiseee. Punguza mwendo na chukuwa tahadhari nyengine za muhimu. Muache aende tu
 
Adjust beam. Gari nyingi za kisasa zinakuja na switch ya kuadjust beam ya taa ili ichague pa kulenga kama ni direct au ipige kwa kushuka kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…