Je, Unafikiri au unasikiliza mawazo yako mwenyewe?

Je, Unafikiri au unasikiliza mawazo yako mwenyewe?

Kuielewa quote nadhani inamaanisha

Mfano wewe ukiwa unapitia shida, una option ya kumuelezea mtu ili akupe ushauri lakini option nyingine. Ni wewe kukaa chini kutafakari hadi upate solution

Sasa inakuwaje unapokaa kimya kwa ajili ya tafakari huwa unapata majibu?.. Hapo inamaanisha badala ya kumsikiliza mtu, unakuwa unaisikiliza nafsi yako

Unakuwa una inner conversation baina yako na nafsi yako. Hivyo tafakari ni kitendo cha kuisikiliza nafsi yako inasemaje katika suala flani. Mm ndo nilivyoelewa
Lakini mtu akiwa na tatizo na akikaa pekeyake mwisho anazidi kuwa na mawazo zaidi, yaani stress.

Stress au mawazo sio sawa na kufikiri kwasababu stress huambatana na hisia hasi kama maumivu na majuto.

Nadhani kufikiri ni jambo ambalo lipo katika upande wa hisia chanya na huambatana na hisia chanya kama kubuni, kupangilia mambo na kufanya maamuzi.
 
Lakini mtu akiwa na tatizo na akikaa pekeyake mwisho anazidi kuwa na mawazo zaidi, yaani stress.

Stress au mawazo sio sawa na kufikiri kwasababu stress huambatana na hisia hasi kama maumivu na majuto.

Nadhani kufikiri ni jambo ambalo lipo katika upande wa hisia chanya na huambatana na hisia chanya kama kubuni, kupangilia mambo na kufanya maamuzi.
You have a point ila kila kitu huwa kwa kiasi, hivyo unapofikiria kupita kiasi unaweza sababisha shida kuzaa shida nyingine kama depression

Japo hiyo muda mwingine husababishwa na majuto au matarajio kuwa tofauti na uhalisia.

Hivyo yawezekana tafakuri chanya zikaleta matokeo na zile negative zikasumbua zaidi
 
Back
Top Bottom