Je, unafikiri hizi treni za SGR ndo zenyewe au tumepigwa tena?

Naunga mkono hoja, hili hata mimi nimeliulizia Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!
P
 
Maelezi ya kadogosa yana mushkeli...mabehewa ya mwendo mrefu kwa sasa yanakuja kufanya nini wakati reli haijakamilika?tunataka mabehewa ya dar to moro ambao mradi unakamilika hivi karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ya kitambo tangu Adam na Eva walipokabidhiwa bustani ya edeni walipokulana tunda tu walipanda hayo matakataka kusepa eneo Hilo kwani walisha jua wamekichafua maana wote wawili walistukia wako uchi wakapanda hivyo hivyo na suti zao za Mungu maandazi wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…