Je, Unahitaji Laptop ya Bei Ndogo Alafu Refurbished?

Je, Unahitaji Laptop ya Bei Ndogo Alafu Refurbished?

Rabama

Member
Joined
Dec 19, 2019
Posts
89
Reaction score
62
Mwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP...

Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget yangu nilipata...


Ilikuwa ni aina ya LogiQ kwa kuwa sikuwa na uelewa mzuri kuhusu LAPTOP nilijikuta najilaumu sana na kujuta baada ya kununua hiyo LAPTOP

Maana:

•Ilikuwa na RAM & HDD ndogo
•Haikuwa na uwezo kwenye Internet

•Ili kuwa na Core ndogo na nitoleo la zamani
•Kibaya zaidi haikuwa inanifaa kwa matumizi ya kazi yangu n.k😢


Haya yote yalisababishwa na kutokuwa na uelewa wa kuchagua LAPTOP nzuri kwa ajili ya matumizi yangu

Kwaiyo baada ya kuajiliwa nilijifunza vitu vya msingi unavyo paswa kuzingatia wakaiti wa kununua Computer au LAPTOP itakayo kufaa kwa matumizi yako na Budget yako...

🛑Wasiliana nasi leo kwa ushauli na kwa maitaji ya LAPTOP nzuri...

Company name:👇🏼

•Lenovo
•Hitachi
•Hp
•Dell
•Toshiba
•Asus
•Acer

••Conditions: Refurbished

💻 Uwezo Core i3 - i7
Ram 4 na kuendelea
Rom 320Gb - 1Tb

🔋Zinakaa na chaji kuanzia masaa 4 na kuendelea.

Bei zinaanzia 399,000/= na kuendelea



✅Ambapo utapata Warranty ya mwaka 1 na
Free support and Basic Software Installation pia Free Delivery kwa DAR ES SALAAM


Call & Whatsapp
☎️0752 663 329

Tupo DAR ES SALAAM

IMG-20220108-WA0064.jpg


IMG-20220330-WA0000.jpg


IMG-20220329-WA0002.jpg


IMG-20220330-WA0006.jpg


IMG-20220108-WA0057.jpg


IMG-20220108-WA0053.jpg
 
Bei hujaweka sasa tutajuwaje kuwa unauza kwa bei ndogo
Bei nimeweka bei zetu zinaanzia 399,000/= na bei hii tupo kwenye msimu wa offa

Wasiliana nasi 0752 663 329
Ili uchague ni Laptop ipi umependa ili uweze kunununua

Kalibu
 
Bei nimeweka bei zetu zinaanzia 399,000/= na bei hii tupo kwenye msimu wa offa

Wasiliana nasi 0752 663 329
Ili uchague ni Laptop ipi umependa ili uweze kunununua

Kalibu
Weka picha ya hizo laptop za 399,000 na features zake
 
Mwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP...

Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget yangu nilipata...


Ilikuwa ni aina ya LogiQ kwa kuwa sikuwa na uelewa mzuri kuhusu LAPTOP nilijikuta najilaumu sana na kujuta baada ya kununua hiyo LAPTOP

Maana:

•Ilikuwa na RAM & HDD ndogo
•Haikuwa na uwezo kwenye Internet

•Ili kuwa na Core ndogo na nitoleo la zamani
•Kibaya zaidi haikuwa inanifaa kwa matumizi ya kazi yangu n.k[emoji22]


Haya yote yalisababishwa na kutokuwa na uelewa wa kuchagua LAPTOP nzuri kwa ajili ya matumizi yangu

Kwaiyo baada ya kuajiliwa nilijifunza vitu vya msingi unavyo paswa kuzingatia wakaiti wa kununua Computer au LAPTOP itakayo kufaa kwa matumizi yako na Budget yako...

[emoji1630]Wasiliana nasi leo kwa ushauli na kwa maitaji ya LAPTOP nzuri...

Company name:[emoji1370]

•Lenovo
•Hitachi
•Hp
•Dell
•Toshiba
•Asus
•Acer

••Conditions: Refurbished

[emoji335] Uwezo Core i3 - i7
Ram 4 na kuendelea
Rom 320Gb - 1Tb

[emoji367]Zinakaa na chaji kuanzia masaa 4 na kuendelea.

Bei zinaanzia 399,000/= na kuendelea



[emoji736]Ambapo utapata Warranty ya mwaka 1 na
Free support and Basic Software Installation pia Free Delivery kwa DODOMA NA DAR ES SALAAM


Call & Whatsapp
[emoji3513]0752 663 329

Tupo DODOMA NA DAR ES SALAAM

View attachment 2169766

View attachment 2169768

View attachment 2169770

View attachment 2169771

View attachment 2169772

View attachment 2169773
ila mkuu siungeweka tu 400k
 
Vipi kwa sie tusiokuwa na hiyo Whatsapp mkuu?
Msio kuwa na Whatsapp nitakutumia hapa hapa nambie unaitaji Laptop ya company gani na iwe na sifa gani? Ili niweze kukutumia mda huu uchague utakayo penda
 
Mwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP...

Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget yangu nilipata...


Ilikuwa ni aina ya LogiQ kwa kuwa sikuwa na uelewa mzuri kuhusu LAPTOP nilijikuta najilaumu sana na kujuta baada ya kununua hiyo LAPTOP

Maana:

•Ilikuwa na RAM & HDD ndogo
•Haikuwa na uwezo kwenye Internet

•Ili kuwa na Core ndogo na nitoleo la zamani
•Kibaya zaidi haikuwa inanifaa kwa matumizi ya kazi yangu n.k😢


Haya yote yalisababishwa na kutokuwa na uelewa wa kuchagua LAPTOP nzuri kwa ajili ya matumizi yangu

Kwaiyo baada ya kuajiliwa nilijifunza vitu vya msingi unavyo paswa kuzingatia wakaiti wa kununua Computer au LAPTOP itakayo kufaa kwa matumizi yako na Budget yako...

🛑Wasiliana nasi leo kwa ushauli na kwa maitaji ya LAPTOP nzuri...

Company name:👇🏼

•Lenovo
•Hitachi
•Hp
•Dell
•Toshiba
•Asus
•Acer

••Conditions: Refurbished

💻 Uwezo Core i3 - i7
Ram 4 na kuendelea
Rom 320Gb - 1Tb

🔋Zinakaa na chaji kuanzia masaa 4 na kuendelea.

Bei zinaanzia 399,000/= na kuendelea



✅Ambapo utapata Warranty ya mwaka 1 na
Free support and Basic Software Installation pia Free Delivery kwa DODOMA NA DAR ES SALAAM


Call & Whatsapp
☎️0752 663 329

Tupo DODOMA NA DAR ES SALAAM

View attachment 2169766

View attachment 2169768

View attachment 2169770

View attachment 2169771

View attachment 2169772

View attachment 2169773
Hiyo acer bei gani? Ina sifa zipi?
 
WEKA BEI na picha tuone sifa za hizo refurbished laptop au ndio dalali unatafuta watundio ulink na muhusika wa duka ,maana madalali kwa sasa wanakuja na shuhuda nyingi

sent from HUAWEI
 
WEKA BEI na picha tuone sifa za hizo refurbished laptop au ndio dalali unatafuta watundio ulink na muhusika wa duka ,maana madalali kwa sasa wanakuja na shuhuda nyingi

sent from
WEKA BEI na picha tuone sifa za hizo refurbished laptop au ndio dalali unatafuta watundio ulink na muhusika wa duka ,maana madalali kwa sasa wanakuja na shuhuda nyingi

sent from HUAWEI
Naomba unicheki whatsapp nikutumie picha na sifa Za laptop 0725 663 329
 
Hp laptop, kuanzia corei3 generation ya 6
Ram 8,hdd 500
Nipe bei na picha.
 
Back
Top Bottom