Je, unahitaji mafanikio, uzima, uponyaji, ulinzi na baraka? Fanya hivi

Je, unahitaji mafanikio, uzima, uponyaji, ulinzi na baraka? Fanya hivi

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Inawezekana umetumia pesa nyingi, nguvu zako, akili zako na uwezo wako wote ili uwe na uzima, upate uponyaji na baraka, lakini hujaona matokeo mazuri. Usikate tamaa. Mungu ameahidi kukufanyia hayo. Nakuonyesha hapa jinsi ya kufanya ili uone ahadi za Mungu zikitimia katika maisha yako. Kiri maneno haya kwa imani. Sema hivi:

💡 Ee Mungu, kama ulivyoahidi katika Zaburi 91:16 nakiri kuwa kwa siku nyingi utanishibisha na kunionyesha wokovu wako.

💡 BWANA, kama ulivyoahidi katika kitabu cha Kutoka 15:26 kwamba nikiisikiliza kwa bidii sauti yako Mungu wangu, na kufanya yaliyo ya adili machoni pako, na kutega masikio yangu nizisikie amri zako, na kushika sheria zako zote, hutatia juu yangu maradhi yo yote; kwa kuwa Wewe ni BWANA uniponyaye. Napokea ahadi hiyo katika Jina la Yesu.

💡 Ee Mungu, umeahidi katika Zaburi 91:11-12 kwamba utaniagizia malaika zako wanilinde katika njia zangu zote. Na kwamba mikononi mwao watanichukua, nisije nikajikwaa mguu wangu; napokea ahadi hiyo katika Jina la Yesu.

💡 Baba Mungu, sawasawa na ahadi yako katika Isaya 41:10, nakiri siogopi chochote, maana Wewe u pamoja nami; sifadhaiki, kwa maana wewe ni Mungu wangu; utanitia nguvu, naam, na kunisaidia; na kunishika kwa mkono wako wa kuume wa haki yako.

💡 Ee BWANA katika Zaburi 1:1-3 umeahidi kwamba mtu asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji, wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria yako BWANA ndiyo impendezayo, naye huitafakari sheria yako mchana na usiku. Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake, wala jani lake halinyauki; na kila alifanyalo litafanikiwa. Napokea ahadi hiyo kwa imani, katika Jina la Yesu Kristo.

💡 Mungu wangu, katika Kumbukumbu la Torati 28:2-6 umeahidi kwamba nisikiapo sauti yako BWANA, Mungu wangu. Utanibariki mjini, utanibariki na mashambani. Utaubariki uzao wa tumbo langu, na uzao wa nchi yangu, na uzao wa wanyama wangu, wazao wa ng'ombe zangu, na kondoo zangu. Kapu langu na chombo changu cha kukandia kitabarikiwa. Utanibariki niingiapo, utanibariki nitokapo. Napokea kwa imani baraka hizo, katika Jina la Yesu Kristo. Ameeeen.

👉 Watu wasio na maarifa ya Neno la Mungu watakucheka na kukubeza, wakisikia unakiri maneno hayo. Watakuita “mjinga.” Usiwasikilize. Kumbuka maneno tunayoyatamka kwa ulimi yana nguvu ya kuumba.

📖 "Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; na wao waupendao watakula matunda yake."
(Mithali 18:21)

📖 "Amin, nawaambia, yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yatatendeka, litakuwa lake lolote alisemalo." (Marko 11:23)

📖 "Neno langu, litokalo katika kinywa changu, halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma." (Isaya 55:11)

🗣️ The power to create is in your words—speak life and watch your destiny unfold.
 
Inawezekana umetumia pesa nyingi, nguvu zako, akili zako na uwezo wako wote ili uwe na uzima, upate uponyaji na baraka, lakini hujaona matokeo mazuri. Usikate tamaa. Mungu ameahidi kukufanyia hayo. Nakuonyesha hapa jinsi ya kufanya ili uone ahadi za Mungu zikitimia katika maisha yako. Kiri maneno haya kwa imani. Sema hivi:

💡 Ee Mungu, kama ulivyoahidi katika Zaburi 91:16 nakiri kuwa kwa siku nyingi utanishibisha na kunionyesha wokovu wako.

💡 BWANA, kama ulivyoahidi katika kitabu cha Kutoka 15:26 kwamba nikiisikiliza kwa bidii sauti yako Mungu wangu, na kufanya yaliyo ya adili machoni pako, na kutega masikio yangu nizisikie amri zako, na kushika sheria zako zote, hutatia juu yangu maradhi yo yote; kwa kuwa Wewe ni BWANA uniponyaye. Napokea ahadi hiyo katika Jina la Yesu.

💡 Ee Mungu, umeahidi katika Zaburi 91:11-12 kwamba utaniagizia malaika zako wanilinde katika njia zangu zote. Na kwamba mikononi mwao watanichukua, nisije nikajikwaa mguu wangu; napokea ahadi hiyo katika Jina la Yesu.

💡 Baba Mungu, sawasawa na ahadi yako katika Isaya 41:10, nakiri siogopi chochote, maana Wewe u pamoja nami; sifadhaiki, kwa maana wewe ni Mungu wangu; utanitia nguvu, naam, na kunisaidia; na kunishika kwa mkono wako wa kuume wa haki yako.

💡 Ee BWANA katika Zaburi 1:1-3 umeahidi kwamba mtu asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji, wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria yako BWANA ndiyo impendezayo, naye huitafakari sheria yako mchana na usiku. Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake, wala jani lake halinyauki; na kila alifanyalo litafanikiwa. Napokea ahadi hiyo kwa imani, katika Jina la Yesu Kristo.

💡 Mungu wangu, katika Kumbukumbu la Torati 28:2-6 umeahidi kwamba nisikiapo sauti yako BWANA, Mungu wangu. Utanibariki mjini, utanibariki na mashambani. Utaubariki uzao wa tumbo langu, na uzao wa nchi yangu, na uzao wa wanyama wangu, wazao wa ng'ombe zangu, na kondoo zangu. Kapu langu na chombo changu cha kukandia kitabarikiwa. Utanibariki niingiapo, utanibariki nitokapo. Napokea kwa imani baraka hizo, katika Jina la Yesu Kristo. Ameeeen.

👉 Watu wasio na maarifa ya Neno la Mungu watakucheka na kukubeza, wakisikia unakiri maneno hayo. Watakuita “mjinga.” Usiwasikilize. Kumbuka maneno tunayoyatamka kwa ulimi yana nguvu ya kuumba.

📖 "Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; na wao waupendao watakula matunda yake."
(Mithali 18:21)

📖 "Amin, nawaambia, yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yatatendeka, litakuwa lake lolote alisemalo." (Marko 11:23)

📖 "Neno langu, litokalo katika kinywa changu, halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma." (Isaya 55:11)

🗣️ The power to create is in your words—speak life and watch your destiny unfold.
Waoouh Asante sana
 
Inawezekana umetumia pesa nyingi, nguvu zako, akili zako na uwezo wako wote ili uwe na uzima, upate uponyaji na baraka, lakini hujaona matokeo mazuri. Usikate tamaa. Mungu ameahidi kukufanyia hayo. Nakuonyesha hapa jinsi ya kufanya ili uone ahadi za Mungu zikitimia katika maisha yako. Kiri maneno haya kwa imani. Sema hivi:

💡 Ee Mungu, kama ulivyoahidi katika Zaburi 91:16 nakiri kuwa kwa siku nyingi utanishibisha na kunionyesha wokovu wako.

💡 BWANA, kama ulivyoahidi katika kitabu cha Kutoka 15:26 kwamba nikiisikiliza kwa bidii sauti yako Mungu wangu, na kufanya yaliyo ya adili machoni pako, na kutega masikio yangu nizisikie amri zako, na kushika sheria zako zote, hutatia juu yangu maradhi yo yote; kwa kuwa Wewe ni BWANA uniponyaye. Napokea ahadi hiyo katika Jina la Yesu.

💡 Ee Mungu, umeahidi katika Zaburi 91:11-12 kwamba utaniagizia malaika zako wanilinde katika njia zangu zote. Na kwamba mikononi mwao watanichukua, nisije nikajikwaa mguu wangu; napokea ahadi hiyo katika Jina la Yesu.

💡 Baba Mungu, sawasawa na ahadi yako katika Isaya 41:10, nakiri siogopi chochote, maana Wewe u pamoja nami; sifadhaiki, kwa maana wewe ni Mungu wangu; utanitia nguvu, naam, na kunisaidia; na kunishika kwa mkono wako wa kuume wa haki yako.

💡 Ee BWANA katika Zaburi 1:1-3 umeahidi kwamba mtu asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji, wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria yako BWANA ndiyo impendezayo, naye huitafakari sheria yako mchana na usiku. Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake, wala jani lake halinyauki; na kila alifanyalo litafanikiwa. Napokea ahadi hiyo kwa imani, katika Jina la Yesu Kristo.

💡 Mungu wangu, katika Kumbukumbu la Torati 28:2-6 umeahidi kwamba nisikiapo sauti yako BWANA, Mungu wangu. Utanibariki mjini, utanibariki na mashambani. Utaubariki uzao wa tumbo langu, na uzao wa nchi yangu, na uzao wa wanyama wangu, wazao wa ng'ombe zangu, na kondoo zangu. Kapu langu na chombo changu cha kukandia kitabarikiwa. Utanibariki niingiapo, utanibariki nitokapo. Napokea kwa imani baraka hizo, katika Jina la Yesu Kristo. Ameeeen.

👉 Watu wasio na maarifa ya Neno la Mungu watakucheka na kukubeza, wakisikia unakiri maneno hayo. Watakuita “mjinga.” Usiwasikilize. Kumbuka maneno tunayoyatamka kwa ulimi yana nguvu ya kuumba.

📖 "Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; na wao waupendao watakula matunda yake."
(Mithali 18:21)

📖 "Amin, nawaambia, yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yatatendeka, litakuwa lake lolote alisemalo." (Marko 11:23)

📖 "Neno langu, litokalo katika kinywa changu, halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma." (Isaya 55:11)

🗣️ The power to create is in your words—speak life and watch your destiny unfold.
View attachment Napokea.m4a
 
Back
Top Bottom